Wisdom Flag
Member
- Oct 16, 2018
- 28
- 18
Wakuu habari zenu,ni matumaini yangu mnaendelea vizuru Mungu atupe uzime hili janga lipite
Nina simu yangu ya Samsung Galaxy S7 edge imepasuka kioo Kam kun mtu yeyote anayeweza nisaidia kupata kioo Cha mkononi maana dukani kina Bei
NAOMBENI MSAADA WENU WADAU NA MAFUNDI simu
Nina simu yangu ya Samsung Galaxy S7 edge imepasuka kioo Kam kun mtu yeyote anayeweza nisaidia kupata kioo Cha mkononi maana dukani kina Bei
NAOMBENI MSAADA WENU WADAU NA MAFUNDI simu