kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,611
Habarini wakuu..Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa Neema zake.Nimekuwa katika mchakato wa kutafuta kazi wakuu, na nimekutana na changamoto kadhaa ningependa tushare kwanza suala la kujuana limenikuta majuzi kwenye reputable international bank.pili kuna makampuni majuzi nimeeenda nimeambiwa nimeoverqualify.
Elimu nina master ya Economics na uzoefu wa kazi miaka 2 kwenye Microfinance na business analysis.
Msaada wenu wakuu.kampuni au taasisi gani naweza kwenda nika submit CV au kukutana na wausika ambayo wanaweza niconsider.
Elimu nina master ya Economics na uzoefu wa kazi miaka 2 kwenye Microfinance na business analysis.
Msaada wenu wakuu.kampuni au taasisi gani naweza kwenda nika submit CV au kukutana na wausika ambayo wanaweza niconsider.