Fidelis08
Senior Member
- May 18, 2017
- 161
- 69
Mkuu namba yangu 0742100862 tunaweza wasiliana Kuhusu chuoSijajua mkuu
Mkuu namba yangu 0742100862 tunaweza wasiliana Kuhusu chuoSijajua mkuu
Mkuu namba yangu 0742100862 tunaweza wasiliana Kuhusu chuo
Mimi nataka ya clinical officers training center maswa sh ngaplete pesaaa nikupe form
Poa poa Nampa no akuchekiMkuu namba yangu 0742100862 tunaweza wasiliana Kuhusu chuo
Ok sawa kiongoziPoa poa Nampa no akucheki
Ukiona ivyo ujue hazijatokaWadau kwa wale waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya ualimu siku kadhaa zilizopita kama kuna mtu ameshadownload au anaejua jinsi ya kupata join instructions ya chuo anisaidie.
Kwa maelezo kutoka chuoni wapeniambia niingie kwenye website ya chuo au Nacte lkn nimeshondwa kabisa.
Please mwenye uelewa anisaidie
Jamani tuwe na subra tutazipata tu ukiona kimya ujue mchakato haujakamilika, maoficini kuna shughuli nyingi....Niliwapigia wakaniambia watazitoa Leo ila mpaka saiz naona kimya alafu hawapokei sim
unao uhakika na ilo ulisemalo mkuuJoining instructions za vyuo vya afya ngazi ya cheti na diploma vya serikari zimetoka angalieni email zenu kama bado basi sio muda utatumiwa
Yaa mimi nimetumiwa janaunao uhakika na ilo ulisemalo mkuu
Ww ulichaguliwa chuo gan kama n muhimbili plz nfowadie na mm kupitia mbilinyidickson@gmail.comYaa mimi nimetumiwa jana