The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Habari wadau.
Naomba kufahamu hospitalini ambayo ina wataalam wa magonjwa ya kina mama ama gynaecologist mzuri kwa hapa Dar es Salaam.
Mpenzi wangu ana tatizo la maumivu wakati wa ngono, hii inatupatia shida kidogo maana tunakua hatufurahii ngono vile inavyotakiwa.
Naomba msaada wa kujua wanapatikana wapi ama specialized clinics ambazo tunaweza kupata huduma.
Natanguliza shukrani.
Naomba kufahamu hospitalini ambayo ina wataalam wa magonjwa ya kina mama ama gynaecologist mzuri kwa hapa Dar es Salaam.
Mpenzi wangu ana tatizo la maumivu wakati wa ngono, hii inatupatia shida kidogo maana tunakua hatufurahii ngono vile inavyotakiwa.
Naomba msaada wa kujua wanapatikana wapi ama specialized clinics ambazo tunaweza kupata huduma.
Natanguliza shukrani.