- Thread starter
- #21
OK, mimi nimejaribu ni siku ya tatu leo ila sijapata kitu.Saa 10 jioni jana
OK, mimi nimejaribu ni siku ya tatu leo ila sijapata kitu.Saa 10 jioni jana
Unatumia simu au computerOK, mimi nimejaribu ni siku ya tatu leo ila sijapata kitu.
computer mkuu.Unatumia simu au computer
mimi imeniletea control namba sasaivi na nimesha lipia ila tatizo kwenye system bado haitaki kutambua kama nimelipia, nafanyaje mkuu.SASA HIVI MFUMO UPO VIZURI...JAMANI MSAADA NAMNA YA KUPATA KITAMBULISHO CHA NIDA ONLINE COPY
Mkuu inabidi applicant awe na number ya kitambulisho cha NIDA sio? Maana kuna mtu ameshaapply NIDA na wiki ijayo number ya NIDA ndio inatoka na wala sio kitambulisho.Ndugu zangu mwenye kujua anisaidie maana mimi najaribu ila sipati control number kwaajili ya kufanya malipo, tangu asubuhi mpaka usiku huu.
VUTA SUBRA ITAKUBALI TU MIMI ILIKUWA HIVYOHIVYO NIKAPATA SIKU YA PILImimi imeniletea control namba sasaivi na nimesha lipia ila tatizo kwenye system bado haitaki kutambua kama nimelipia, nafanyaje mkuu.
MI NAONA HAPA WANATAKA NAMBA YA NIDA NA KOPI YAKE YA PDF. ZAMANI KOPI YA PDF NIDA ILIKUWA UNAWEZA PATA ONLINE SASA HIVI NAONA SIJUI MFUMO WAMEBADILISHA... TUOMBE MWONGOZO MAANA KUPATA KITAMBULISHO NI ISHU SANA ILA NAMBA NI RAHIS TUMkuu inabidi applicant awe na number ya kitambulisho cha NIDA sio? Maana kuna mtu ameshaapply NIDA na wiki ijayo number ya NIDA ndio inatoka na wala sio kitambulisho.
Swali. je number na kitambulisho cha NIDA ni muhim kabla ya Ku apply?
shukurani saan mkuu, imekubali janaVUTA SUBRA ITAKUBALI TU MIMI ILIKUWA HIVYOHIVYO NIKAPATA SIKU YA PILI
ndio ukajiandikishe sasaHv wadau kama hukujiandikisha hizo namba za nida Hapo kwenye kujaza inakuaje?
Inachukua muda gan kupata hyo namba?ndio ukajiandikishe sasa
siku iyo iyo kama utajiomgeza mkuu.Inachukua muda gan kupata hyo namba?
mkuu ulifanikiwa, alafu ukitaka kutuma kwa MPESA hiyo 30 unatumaje.Ndugu zangu mwenye kujua anisaidie maana mimi najaribu ila sipati control number kwaajili ya kufanya malipo, tangu asubuhi mpaka usiku huu.
mkuu ulifanikiwa, alafu ukitaka kutuma kwa MPESA hiyo 30 unatumaje.Hata mimi nimepata control number jana saa 10 nikalipia muda huo huo hadi sasa hivi iko hapa kila niki Re-load inaload tuuu muda woteView attachment 1850535
Wakuu nawezafanya application loan board kwa kutumia simu ya kiganjani
ImewezekanaHapana haiwezekani