Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Nina simu aina ya T-Smart 4G niliyonunua Tigo Shop. Betri yake haifanyi kazi hivyo nimekuwa natafuta Betri bila Mafanikio Naomba msaada wa kujua kama kuna Sehemu kuna hizo Betri.
Wewe zunguka madukan ujaribu betri mbali mbali hasa za itel unaweza pataNina simu aina ya T-Smart 4G niliyonunua Tigo Shop.Betri yake haifanyi kazi hivyo nimekuwa natafuta Betri bila Mafanikio Naomba msaada wa kujua kama kuna Sehemu kuna hizo Betri.View attachment 1739370
Mm mwenyew yangu imevimba kdg. Ila bado inapiga kaziHivi vismart 4G tumepigwa sana basi tu yani.. yangu betri yake imevimba na haikai tena kwenye simu
Mimi ninayo hio battery!!!Nina simu aina ya T-Smart 4G niliyonunua Tigo Shop. Betri yake haifanyi kazi hivyo nimekuwa natafuta Betri bila Mafanikio Naomba msaada wa kujua kama kuna Sehemu kuna hizo Betri.
View attachment 1739370
Nenda tgo shop hlo tatzo wanakurekebshia bure kbsHiki kisimu changu kimeganda kwenye logo ya tigo ingawa bado kipya vinazingua.
Ok sema sikukinunua kwenye duka zaoNenda tgo shop hlo tatzo wanakurekebshia bure kbs
we nenda hawakulzi kikubwa kiwe chao pia kiwe hakjafunguliwa hlo tatzo ni file wanaweka upya wanakukabz ndan ya dk 10 iko poa ktaa hupati suluhsho.Ok sema sikukinunua kwenye duka zao
Nina simu aina ya T-Smart 4G niliyonunua Tigo Shop. Betri yake haifanyi kazi hivyo nimekuwa natafuta Betri bila Mafanikio Naomba msaada wa kujua kama kuna Sehemu kuna hizo Betri.
View attachment 1739370