Msaada wa kunyoosha matege ya miguu kwa kitoto kichanga

Hute

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,538
6,456
Jamani, hivi mtoto mchanga akiwa na matege unaweza kufanya nini ili kuyanyoosha, nilisikia kama mtoto akiwa na matege wakati bado mdogo mifupa yake ni milaini hivyo inaweza kunyooshwa tu.

I am just curious because nimemtembelea ndugu yangu ana mtoto anatembea, ana matege mabaya sana, my wife is pregrant na nilikuwa naogopa nitafanya nini kama ikitokea kwa wa kwangu...dawa yake au njia ya kuyanyoosha ni nini wajameni? prevention ninajua ni kutumia sana vyakula vya vitamin D na C. thanks.
 
akikua itanyooka tua achana naye ulimlazimisha kutembea akiwa mdogo sana
 
Mpeleke pale muhimbili kitengo cha moi wanamtibu na yataisha kabisa.Mimi mtoto wangu alizaliwa na tatizo la mguu na angekuwa mlemavu lakini nilimpeleka pale na wakamtibu lile tatizo.wakati huo alikuwa na miez saba ila sasa ana miaka nane huwezi jua kama alikuwa na tatizo la miguu
 
the child ana wiki tatu, na jamaa yuko mkoani, hatuko dsm...
 
the child ana wiki tatu, na jamaa yuko mkoani, hatuko dsm...

Panga jinsi ya kwenda pale.wakati huo 2004 clinic ya watoto ilikuwa siku ya jumatano kwa sasa sijui ni lini.Wakati huo walikuwa wanakuja watoto wenye matatizo kutoka sehemu zote za Tanzania Dodoma,Tanga na hata kwingineko.Tena huyo wa wiki tatu mkubwa kuna wengine walikuwa wakiletwa wadogo mno.Nakushauri panga safari aje wamcheki kama ni tatizo wataalamu watakwambia,kama itabadilika watakwambia ukwel.
 
mpe juice ya carrot kwa wingi,hata chakula anachokula pia mchanganyie na carrot,ndugu yangu alitumia sn hvyo kwa mwanae alishauriwa,ss hv huwezi kumjua km alikuwa na matege
 
mkuu punguza kumbeba mgongoni au kwa kutumia yale mabegi ya kubebea mtoto. nayo huwa inachangia kuwa na matege. usichoke kumnyonyesha maziwa ya mama.
 
Kwa kweli ni vizuri ukawahi hosp. kabla hajawa mkubwa zaidi.
kuna kaka ana binti yake alimwacha akafikia umri wa kitu kama miaka sita
keshafanyiwa upasuaji zaidi ya mara mbili lakini tatizo ni kama liko pale pale.
ni vizuri zaidi ukawahi mkuu.
 
kama ni kakiume wakaache katakuwa kana cheza soka ........sorry Muwahishe hosp atapona tu
 
Mpeleke pale muhimbili kitengo cha moi wanamtibu na yataisha kabisa.Mimi mtoto wangu alizaliwa na tatizo la mguu na angekuwa mlemavu lakini nilimpeleka pale na wakamtibu lile tatizo.wakati huo alikuwa na miez saba ila sasa ana miaka nane huwezi jua kama alikuwa na tatizo la miguu

the child ana wiki tatu, na jamaa yuko mkoani, hatuko dsm...

mpe juice ya carrot kwa wingi,hata chakula anachokula pia mchanganyie na carrot,ndugu yangu alitumia sn hvyo kwa mwanae alishauriwa,ss hv huwezi kumjua km alikuwa na matege
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom