Kwanza nenda tengeneza figisu na Accounting officer wa ofisi husika mweleze nia yako akikuelewa unaandika barua Kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha (Hazina) kupitia kwa Accounting officer husika yeye ata sign na kuweka comment za imepitishwa, utaipeleka Wizarani utasikilizai majibu. kama vipi kule nako unaeza tengeneza ularo fresh maana normally MK ata ichannel Barua wahakiki mali wa serikali (huko ndo unatakiwa kutenegenza figisu.Nimesikia kuna njia ya kununua bila mnada kutangazwa