Msaada wa kumjua faru John.

Chakorii

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
18,579
50,666
Habari za wakati huu great thinkers..kama ambavyo kichwa cha habar kinajieleza hapo juu..nimekuwa nikisia sikia maneno mengi watu wakimuongelea faru John.huyu faru John ni nani?nini kilimkuta??na kwanini aongelewe yeye tu??ana umuhimu gani??naomba kuwasilisha
 
upload_2016-12-29_11-44-25.jpeg
kifo kilimkuta baada ya kuumwa
upload_2016-12-29_11-45-15.jpeg
alitoka south africa
images
alikuwa anapiga vitoto vibichi vibichi
 
Habari za wakati huu great thinkers..kama ambavyo kichwa cha habar kinajieleza hapo juu..nimekuwa nikisia sikia maneno mengi watu wakimuongelea faru John.huyu faru John ni nani?nini kilimkuta??na kwanini aongelewe yeye tu??ana umuhimu gani??naomba kuwasilisha

Njoo nyumbani tudiskasi hii issue.......hata mimi inanichanganya sana........where is our johnny......
johnny ooooooo johnny eeeeeeeeeh........
 
Njoo nyumbani tudiskasi hii issue.......hata mimi inanichanganya sana........where is our johnny......
johnny ooooooo johnny eeeeeeeeeh........
I wish I could be the one invited for this discussion.
 
Back
Top Bottom