prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Habari zenu wana JF!wiki iliyopita nilipata ajali maeneo ya Tabata, sasa tulienda police tukafungua jalada na likapelekwa mahakamani. Nina hitaji kulipwa kutoka insurance ila nimeambiwa natakiwa kupeleka claim form, mchoro, pf 90 na 93.
sasa tatizo linakuja hapa;
1. insurance wananiambia hizo doc zinapatikana na hazihitaji kusubiri mambo ya mahakama na
2. police wananiambia hizo doc mpaka jalada la kesi lirudi kutoka mahakamani.
Wenye uelewa au uzoefu wa hizi taratibu naomba nipate ukweli na nifanye nini wadau. Natanguliza shukrani zangu za dhati
sasa tatizo linakuja hapa;
1. insurance wananiambia hizo doc zinapatikana na hazihitaji kusubiri mambo ya mahakama na
2. police wananiambia hizo doc mpaka jalada la kesi lirudi kutoka mahakamani.
Wenye uelewa au uzoefu wa hizi taratibu naomba nipate ukweli na nifanye nini wadau. Natanguliza shukrani zangu za dhati