Msaada wa kukadiria gharama za ujenzi

Hiyo ni nyumba yako binafsi unataka kujenga mkuu? Nimeicheck chap chap naona ina changamoto za kimpangilio. Kwa mfano kuna corridors nyingi sana na nyembamba mno. Zitakuwa giza na ngumu kutumia (corridor za 90cm ni minimum kabisa). Vyumba vya kulala vidogo Kama bado hujaanza kujenga nakushauri urekebishe design. Pia angalia vyoo vilivyowekwa. Vyembamba na virefu bila, utatumia tiles nyingi kuliko unavyohitaji. Nahisi wazo la choo na bafu ni kuwa na washbasin kwa nje kwenye hizo vestibule za bafuni...hayo ni mambo ya zamani na hiyo basin itakuwa gizani (taa itakuwa inawashwa 24/7 na hewa itakuwa nzito). Ningeshauri uweke washbasins ndani ya vyumba husika. Dining Room ya 2.2m ni changamoto kuweka meza na viti pande zote mbili, watu wakae na kuvuta viti na wapishane (mtu kuweza kupita nyuma ya aliyekaa).
Dining atleast 2.5 m sio mbaya
 
Hiyo ni nyumba yako binafsi unataka kujenga mkuu? Nimeicheck chap chap naona ina changamoto za kimpangilio. Kwa mfano kuna corridors nyingi sana na nyembamba mno. Zitakuwa giza na ngumu kutumia (corridor za 90cm ni minimum kabisa). Vyumba vya kulala vidogo Kama bado hujaanza kujenga nakushauri urekebishe design. Pia angalia vyoo vilivyowekwa. Vyembamba na virefu bila, utatumia tiles nyingi kuliko unavyohitaji. Nahisi wazo la choo na bafu ni kuwa na washbasin kwa nje kwenye hizo vestibule za bafuni...hayo ni mambo ya zamani na hiyo basin itakuwa gizani (taa itakuwa inawashwa 24/7 na hewa itakuwa nzito). Ningeshauri uweke washbasins ndani ya vyumba husika. Dining Room ya 2.2m ni changamoto kuweka meza na viti pande zote mbili, watu wakae na kuvuta viti na wapishane (mtu kuweza kupita nyuma ya aliyekaa).
Nilivyoiona picha tu nilijua hakumtumia mtaalam kupata ramani inaonekana amechorewa plan na mafundi wa vijijini. Cha kumshauri atafute ramani nyingine hiyo utekelezaji wake ni mgumu na atatumia gharama kubwa sana. Nyumba itakuwa ya kienyeji sana
 
Nilivyoiona picha tu nilijua hakumtumia mtaalam kupata ramani inaonekana amechorewa plan na mafundi wa vijijini. Cha kumshauri atafute ramani nyingine hiyo utekelezaji wake ni mgumu na atatumia gharama kubwa sana. Nyumba itakuwa ya kienyeji sana
Kwa bahati mbaya sana watu kutotumia wataalam ni kawaida hapa nchini ila hata nje ya nchi. Wengi huwa wanafikiri ni gharama ingawa wanaweza epuka gharama nyingi tu mbeleni kwa kutumia wataalam. Cha muhimu ni kujitahidi kupata kazi na jengo bora iwezekanavyo pale unapokosa wataalam na kulazimika kutegemea mafundi kwa design.
 
Nilivyoiona picha tu nilijua hakumtumia mtaalam kupata ramani inaonekana amechorewa plan na mafundi wa vijijini. Cha kumshauri atafute ramani nyingine hiyo utekelezaji wake ni mgumu na atatumia gharama kubwa sana. Nyumba itakuwa ya kienyeji sana
Ya kienyeji kivipi wakati picha ni hizo hapo juu na mimi nataka nijenge kupata muonekano huo hapo juu au pia ni mbaya?
 
Nilivyoiona picha tu nilijua hakumtumia mtaalam kupata ramani inaonekana amechorewa plan na mafundi wa vijijini. Cha kumshauri atafute ramani nyingine hiyo utekelezaji wake ni mgumu na atatumia gharama kubwa sana. Nyumba itakuwa ya kienyeji sana
Ya kienyeji kivipi wakati picha ni hizo hapo juu na mimi nataka nijenge kupata muonekano huo hapo juu au pia ni mbaya?
 
Ohoo nashukuru kwa michango yenu nitabadili nachoona kinafaa na sio kila kilichosemwa, kwa mfano binafsi huwa napenda corridor nyingi yaani unazunguka kunipata hadi sio mchezo
 
Unaweza kumeza karibu milioni 25 ikamilike kabisa mpaka tiles
Sitaki kufika huko kwanza bali nahitaji kukamilisha hatua nilizoeleza hapo juu ila nitakapoanza na finishing najua inaweza fika huko but najenga hatua kwa hatua maana hiyo ndio dream house yenyewe mkuu
 
Hiyo ni nyumba yako binafsi unataka kujenga mkuu? Nimeicheck chap chap naona ina changamoto za kimpangilio. Kwa mfano kuna corridors nyingi sana na nyembamba mno. Zitakuwa giza na ngumu kutumia (corridor za 90cm ni minimum kabisa). Vyumba vya kulala vidogo Kama bado hujaanza kujenga nakushauri urekebishe design. Pia angalia vyoo vilivyowekwa. Vyembamba na virefu bila, utatumia tiles nyingi kuliko unavyohitaji. Nahisi wazo la choo na bafu ni kuwa na washbasin kwa nje kwenye hizo vestibule za bafuni...hayo ni mambo ya zamani na hiyo basin itakuwa gizani (taa itakuwa inawashwa 24/7 na hewa itakuwa nzito). Ningeshauri uweke washbasins ndani ya vyumba husika. Dining Room ya 2.2m ni changamoto kuweka meza na viti pande zote mbili, watu wakae na kuvuta viti na wapishane (mtu kuweza kupita nyuma ya aliyekaa).
Mkuu asante kwa observation ila kuhusu mpangilio hapo hakuna shida ,mimi napenda corridor huwa sitaki ramani za kunipa ghasia wakati wa movements za kutoka na kuingia ndio maana napenda kuingilia kwenye corridor,ni kweli 90cm ni minimum but ndani naingiza nini zaidi ya meza na makochi? kwa size hiyo vyote vinapita maana hiyo size ni ndani kwa ndani.Kwamba kuna giza si kweli coz kuna madirisha kwenye kila corridor labda tu nitayaongeza ukubwa ya match na size ya corridor.

Unakuta ramani iko kwa staili ya kwamba ukitaka kuingia au kutoka lazima ukatishe jikoni au sebuleni ndio ufike unakoenda huo utaratibu hapana au vyumba vina share kuta za sebuleni hiyo pia sitaki.Kuhusu size ya Vyumba still ni standard pia kwani naweka nini zaidi kwenye hivyo vyumba ikiwa kitanda na kochi na meza ndogo vinakaa?

Ishu ya urefu wa vyoo ni kweli hapo nakubali nitaingiliwa kwenye tiles lakini kwa sasa sitobadili maana itaathiri muonekano wa nje ambao hasa ndio nautaka.Kwamba hewa itakuwa nzito hiyo inategemeana na ujenzi wenyewe,kwanza madirisha nitayaongeza yawe cm 70 x 40cm kila moja na hizo kuta za patitions na za hapo loundry zinakuwa fupi ili kwanga na hewa vifike directly ko giza halitakuwepo.

Kuhusu Dining ni kweli ni ndogo kiasi kwamba ile kujiachia sana hakutakuwepo lakini kwa standard za kawaida za fanicha za meza ya 70cm upana,na viti vinavyochukua space ya 50cm vinakaa bila shida japo ndio hivyo kwamba somehow ukitaka kutoka kutakuwa na kuvuta vuta na ku misplace viti ili kufacilitate movements,hata hivyo nitaiongeza ukubwa iwe 2.4m kwa kupunguza ukubwa kidogo wa jiko hapo.

Nashukuru kwa ushauri na observations nitaboresha kinachowezekana as for me ramani iko vizuri na sitaki kubadili mpangilio wa ramani afu mwisho wa siku nisipate view kama inavyoonesha kwenye render hapo juu.
 
Nilivyoiona picha tu nilijua hakumtumia mtaalam kupata ramani inaonekana amechorewa plan na mafundi wa vijijini. Cha kumshauri atafute ramani nyingine hiyo utekelezaji wake ni mgumu na atatumia gharama kubwa sana. Nyumba itakuwa ya kienyeji sana
Kienyeji kivipi mkuu? Nimeweka renders hapo juu sasa sijui hiyo view ni ya kienyeji au unamaanisha nini.Mambo ya gharama hayo niachie mwenyewe nitajua jinsi ya kuminimize costs,kwa mfano tofari la kuchoma ni sh.90 hadi site na najengea matope kwa ndani na msingi wa mawe sasa gharama ya kutishana hapo iko wapi ?

Kwenye finishing ambako ni takribani gharama sawa na za kuinua boma hadi kuezeka nitaenda nako mdogo mdogo hadi nafika,inshaala nikiwa mzima na nisipopata majanga.
 
Inategemea na utakavyojenga mkanda wako. Bado unaweza kuondoa mambo mengi na kusevu hela.
Ila, nyumba yako ina kuta nyingi sana. perimeter karibu 110m na hapo bila veranda.

Sasa 110 m matofali na reinforcement ya msingi/ au hata kama utatumia mawe bado itakugharimu.

Halafu huyo jamaa aliyekuchorea, amekufanya uamini nyumba yako ni 15 X14 ila ni ndogo kuliko, na eneo kubwa la mchoro huo siyo livable.
All in all, wewe ndiyo mwenye nyumba na una matamanio yako, ila ningependa uje utuletee mrejesho. Kwa sababu naamini bila 6m au at least 4m ukijibana sana, bado hujajenga msingi.

Again, hiyo ni based on experience, mimi siyo fundi.
Actually parameter ni zaidi ya 140 ukitoa veranda ila ukihusisha veranda inafika around 150m ,,sasa mkuu nyie mnajengaje ,kitaalam kutokana na experience ya kusimamia ujenzi wa kawaida kuta za nje tuu ndio nachimba msingi za ndani sichimbi ila najenga juu ya ground level kulinganisha na ukuta unaotoka.,na unene wa msingi hauzidi cm 45

Sasa hapo hakuna gharama kubwa kwenye msingi na hesabu zangu zinaniambia nitatumia maximum ya 3mln.Kiwanja kiko level hizo milioni 4 za nini? Hakuna reinforcement nayoweka kwenye msingi yaani kifupi siweki plimth beam maana sijengi ghorofa mkuu
 
Actually parameter ni zaidi ya 140 ukitoa veranda ila ukihusisha veranda inafika around 150m ,,sasa mkuu nyie mnajengaje ,kitaalam kutokana na experience ya kusimamia ujenzi wa kawaida kuta za nje tuu ndio nachimba msingi za ndani sichimbi ila najenga juu ya ground level kulinganisha na ukuta unaotoka.,na unene wa msingi hauzidi cm 45

Sasa hapo hakuna gharama kubwa kwenye msingi na hesabu zangu zinaniambia nitatumia maximum ya 3mln.Kiwanja kiko level hizo milioni 4 za nini? Hakuna reinforcement nayoweka kwenye msingi yaani kifupi siweki plimth beam maana sijengi ghorofa mkuu
Sawa, inaelekea una gharama uliyokwisha jiwekea na hiyo ndiyo utakayojengea msingi.
Kwa hivyo hutaki kusikia gharama za msingi za aina yeyote Ile.
Mwisho wa siku hata ukitaka kutumia 1m unaweza. Ni wewe mwenye kuamua .
 
Inategemea na utakavyojenga mkanda wako. Bado unaweza kuondoa mambo mengi na kusevu hela.
Ila, nyumba yako ina kuta nyingi sana. perimeter karibu 110m na hapo bila veranda.

Sasa 110 m matofali na reinforcement ya msingi/ au hata kama utatumia mawe bado itakugharimu.

Halafu huyo jamaa aliyekuchorea, amekufanya uamini nyumba yako ni 15 X14 ila ni ndogo kuliko, na eneo kubwa la mchoro huo siyo livable.
All in all, wewe ndiyo mwenye nyumba na una matamanio yako, ila ningependa uje utuletee mrejesho. Kwa sababu naamini bila 6m au at least 4m ukijibana sana, bado hujajenga msingi.

Again, hiyo ni based on experience, mimi siyo fundi.
Wanaojengea mawe mkoani wamezoea kutokuweka beam kwenye msingi so nondo na zege hawatumii. So msingi hautotumia gharama hiyo tuseme labda 2 to 3 kwa mkoani inatosha. Ila kwa Dar hapo 6 to 8M lazima izikwe.
 
Actually parameter ni zaidi ya 140 ukitoa veranda ila ukihusisha veranda inafika around 150m ,,sasa mkuu nyie mnajengaje ,kitaalam kutokana na experience ya kusimamia ujenzi wa kawaida kuta za nje tuu ndio nachimba msingi za ndani sichimbi ila najenga juu ya ground level kulinganisha na ukuta unaotoka.,na unene wa msingi hauzidi cm 45

Sasa hapo hakuna gharama kubwa kwenye msingi na hesabu zangu zinaniambia nitatumia maximum ya 3mln.Kiwanja kiko level hizo milioni 4 za nini? Hakuna reinforcement nayoweka kwenye msingi yaani kifupi siweki plimth beam maana sijengi ghorofa mkuu
We jamaa mbishi na mjuaji sana. Kiifupi kwa jinsi unavyotaka kujenga unajenga nyumba ya matope na kuipiga plasta kwa cement. Na ramani pia ni mbaya. Punguza ujuaji. Ila lwa kuwa hela ni yako amua uonavyo inafaa.
 
We jamaa mbishi na mjuaji sana. Kiifupi kwa jinsi unavyotaka kujenga unajenga nyumba ya matope na kuipiga plasta kwa cement. Na ramani pia ni mbaya. Punguza ujuaji. Ila lwa kuwa hela ni yako amua uonavyo inafaa.
Saruji ni nini na matope ni nini? Kinachitafutwa ni mnato tuu.Hizi za matope kama unavyoziita ziko durable Sana kuliko hizo za sementi mfuko 1 kwa 60 blocks ,si unaziona ukija mkoani mkuu.

Hata kama mbaya yako nzuri iko wapi onyesha maana yangu ndio itafanana na hiyo render hapo juu.

Mkuu pole Sana uzuri uko kwenye macho ya mtu labda ingekuwa haitoi huduma muhimu ningekuelewa ila kamwe siwezi jenga unavyotaka so lazima niwe mjuaji,wewe toa maoni ya gharama za ujenzi tuu hayo mengine niachie mwenyewe.

Za matope zitafanana kama hivi
IMG_20210220_122530_273.jpg
440627683.jpg
 
Saruji ni nini na matope ni nini? Kinachitafutwa ni mnato tuu.Hizi za matope kama unavyoziita ziko durable Sana kuliko hizo za sementi mfuko 1 kwa 60 blocks ,si unaziona ukija mkoani mkuu.

Hata kama mbaya yako nzuri iko wapi onyesha maana yangu ndio itafanana na hiyo render hapo juu.

Mkuu pole Sana uzuri uko kwenye macho ya mtu labda ingekuwa haitoi huduma muhimu ningekuelewa ila kamwe siwezi jenga unavyotaka so lazima niwe mjuaji,wewe toa maoni ya gharama za ujenzi tuu hayo mengine niachie mwenyewe.

Za matope zitafanana kama hiviView attachment 1718483View attachment 1718487
Tulia kijana punguza mihemko.
 
Nilivyoiona picha tu nilijua hakumtumia mtaalam kupata ramani inaonekana amechorewa plan na mafundi wa vijijini. Cha kumshauri atafute ramani nyingine hiyo utekelezaji wake ni mgumu na atatumia gharama kubwa sana. Nyumba itakuwa ya kienyeji sana
Hahahahaaaa... Ramani ya fundi Maiko
 
Back
Top Bottom