Msaada wa kujiunga na vyuo vya kilimo kwa kozi za certificate na diploma

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,373
73,975
Tafadhali mwenye kujua namna ya kuomba kujiunga na masomo ya diploma au certificate kwenye vyuo vya kilimo anisaidie. Tatizo havina websites na vyenye websites hakuna mode of application.
Msaada tafadhali.
 
Tafadhali mwenye kujua namna ya kuomba kujiunga na masomo ya diploma au certificate kwenye vyuo vya kilimo anisaidie. Tatizo havina websites na vyenye websites hakuna mode of application.
Msaada tafadhali.


Kilimo kwa upana upi mkuu ?

Ili kukujibu swali lako, je, tunapaswa kukupa maelekezo ya kujiunga na vyuo vilivyo chini ya "wizara ya kilimo" tu au vyuo vinavyotoa mafunzo ya KILIMO kwa upana wake ?

Kama jibu lako litakuwa ni vyuo vilivyo chini ya wizara ya kilimo, basi kumbe unamaanisha MATI (Ministry of Agriculture Training Institutes) na maelezo yake yanapatikana au yanapaswa kupatikana kwenye website ya MATI kama walivyotanabaisha wachangiaji kadhaa hapo juu.

Kama ni vyuo vya KILIMO kwa maana ya sekta hii tajwa kwa mapana wake, nadhani tunapaswa kukueleza zaidi ya MATI.

Hapa tutakua na deni la kukueleza kuhusu vyuo vya mifugo (LITA), vyuo vya uvuvi na ufugaji samaki (FETA) na vyuo vingine vya ki"sub sector" mfano HORTI.

Tusaidie kukusaidia tafadhali.
 
Msaada juu ya vyuo vya private
Naomba msaada wa kujua ni vyuo gan vya private vinavyotoa diploma na jinsi ya kufanya application pamoja na orodha yake tafadhali naomba
 
List ya vyuo vya kilimo private
Naitwa juston naomba kufaamu orodha ya vyuo vya private vinavyo toa diploma pamoja na jinsi ya kufanya application
 
Back
Top Bottom