Ng'wanambula
Senior Member
- Oct 2, 2011
- 197
- 53
Naomba msaada kwa anayejua kujenga Biogas plant: Nataka kujenga mtambo huo lakini malighafi itakuwa excreta na malighafi hiyo itatoka kwa watu kati ya 400 na 500.
Naomba msaada wa BOQ pamoja na mambo mengine ambayo sikuyataja.
Naomba msaada wa BOQ pamoja na mambo mengine ambayo sikuyataja.