Habarini ndugu mabibi na mabwana,
Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa kinavyoelezea.
Naomba msaada kwa mwl yoyote au mdau yeyote wa Elimu aliyewahi kufanikisha swala la kubadili idara ya kufanyia kazi.
Mimi ni mwalimu nafanya kazi idara ya Msingi na nina hamu nihamie vyuo vya kati, hususani Vyuo vya Ualimu (cheti) kufanya kazi huko. Naomba nifahamu ni hatua zipi naweza kuzifuata kufanikisha hili.
Sifa zote ninazo na Cv yangu ipo sawa.
Naamini kupitia humu tuna maafisa Elimu, wakufunzi, wadau mbalimbali wa Elimu wanaoweza kutusaidia mawazo na mwongozo mzuri wa kufikia tuyatakayo. Ahsanteni
Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa kinavyoelezea.
Naomba msaada kwa mwl yoyote au mdau yeyote wa Elimu aliyewahi kufanikisha swala la kubadili idara ya kufanyia kazi.
Mimi ni mwalimu nafanya kazi idara ya Msingi na nina hamu nihamie vyuo vya kati, hususani Vyuo vya Ualimu (cheti) kufanya kazi huko. Naomba nifahamu ni hatua zipi naweza kuzifuata kufanikisha hili.
Sifa zote ninazo na Cv yangu ipo sawa.
Naamini kupitia humu tuna maafisa Elimu, wakufunzi, wadau mbalimbali wa Elimu wanaoweza kutusaidia mawazo na mwongozo mzuri wa kufikia tuyatakayo. Ahsanteni