medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,314
- 1,278
Kuna kijana alichezea simu na kufuta whatsapp. Sasa nilijaribu kuiweka upya baadhi ya meseji zikarudi na nyingine kugoma. Kuna uwezekano wa kurudisha meseji zote maana nimejaribu mara ya pili zile zilizokuwepo zimeondoka na nilijaribu kutoa kwenye Google drive nilizoziweka bado inasoma. Msaada wa njia gani naweza tuma kufanya backup za meseji...