Wanau naomba maelezo ya kina ya kila kinachotakiwa ili kuanzisha kampuni ya ulinzi,nini kinatakiwa,mtaji ni kiasi gani na taratibu nyingine ikiwa ni pamoja na maeneo mazuri ya mufungua ofsi
Hii ninacomment ili ipande juu, swala la security ni muhimu sana hasa Tanzania ambapo unaweza toka nyumbani kurudi mtu kabomoa kioo cha dirisha kavuta vitu vyote vya thamani.
Ukifanikiwa kuanzisha kama ukihitaji technology ya kisasa ile mtu akivamiwa inapiga kelele picha inapigwa ya mwizi na information inatumwa automatic kwa security guards ndani ya sekunde moja we nitaarifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.