msaada wa kuanzisha business

lily

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
229
26
wajameni naomba kamsaada kidogo. mimi niko huku ughaibuni na nimeshabeba mabox vya kutosha , na ningependa kurudi home kufanya biashara, nimejikusanya sana na hapo nilipo nimesave 100, 000pounds! kuna mtu kaniambia ninunua kakiwanja halafu baadae nijenge hapo kaukumbi ka kufanyia sherehe au hotel ndogo yenye vyumba 20 hivi na je hii pesa itanitosha wadau? ni maaneo gani yapo cheap nad easy to access? thanx a lot
 
wajameni naomba kamsaada kidogo. mimi niko huku ughaibuni na nimeshabeba mabox vya kutosha , na ningependa kurudi home kufanya biashara, nimejikusanya sana na hapo nilipo nimesave 100, 000pounds! kuna mtu kaniambia ninunua kakiwanja halafu baadae nijenge hapo kaukumbi ka kufanyia sherehe au hotel ndogo yenye vyumba 20 hivi na je hii pesa itanitosha wadau? ni maaneo gani yapo cheap nad easy to access? thanx a lot
Karibu kanda ya kaskazini, ukiwekeza kwenye hoteli na mambo ya utalii itakulipa as long as unacho kianzio kizuri!
 
Back
Top Bottom