Raphael9 Senior Member Apr 24, 2012 145 44 Sep 22, 2012 #1 Msaada nataka niangalie mchanganuo umeendaje lakin pale pakuandka surename,index no na password pamenichanganya? help me
Msaada nataka niangalie mchanganuo umeendaje lakin pale pakuandka surename,index no na password pamenichanganya? help me
NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 Sep 22, 2012 #2 wewe weka jina lako moja either lako au la babako, uwe na moyo wa kujalibu sio kila kitu mpaka kuuliza.
wewe weka jina lako moja either lako au la babako, uwe na moyo wa kujalibu sio kila kitu mpaka kuuliza.
C Cute62 Member Jul 13, 2012 38 5 Sep 22, 2012 #3 Andika jina moja tu,either la kwako la mwanzo tu,au la mwisho,,then type zile code,search,yanakuja majina.
Andika jina moja tu,either la kwako la mwanzo tu,au la mwisho,,then type zile code,search,yanakuja majina.
Raphael9 Senior Member Apr 24, 2012 145 44 Sep 22, 2012 Thread starter #4 Sante xana wakuu!! ngoja nifanye hvyo