Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Habari za muda huu ndugu zangu? Ukweli ushamba mzigo kumbe kenya wanabei ndogo ya simu kuliko aliexpress? Juzi nilikuwa nataka simu aliexpress nilikuwa na laki 8 niliona ngoja nitafute xiamon maana kunawatu walikuwa wanazisifia sana nilipata xiamo note 10 pro kwa bei ya laki 8 niliongea na yule muuzaji akasema anasafirisha bongo.
Kabla ya kulipia nikasema ngoja nitembe tembe tembe nikakutana na hii kwenye page ya tweeter ya xiamoni kenya wanauza ksh 23499 nisawa na kama laki 5 ya kibongo nilishanga sana.
Nikajiuliza ina maana Aliexpress wanabei kubwa kuriko majirani zetu? Na kwa wale wazoefu hivi unawezaje kuagiza simu kutoka kenya? Maana naogopa nisije nikachapwa na Mwisho bidhaa gani zina patikana kwa bei rahisi kenya.
Kabla ya kulipia nikasema ngoja nitembe tembe tembe nikakutana na hii kwenye page ya tweeter ya xiamoni kenya wanauza ksh 23499 nisawa na kama laki 5 ya kibongo nilishanga sana.
Nikajiuliza ina maana Aliexpress wanabei kubwa kuriko majirani zetu? Na kwa wale wazoefu hivi unawezaje kuagiza simu kutoka kenya? Maana naogopa nisije nikachapwa na Mwisho bidhaa gani zina patikana kwa bei rahisi kenya.