Wadau me ni mfanyakazi serikalini nimejichanga hela nimepata tumilioni 8.8 Nataka kuagiza gari noah 2001 au 2004 nahitaji msaada katika mambo yafuatayo
FOB
CIF
BID
Hivyo vyote vina maana gani na dealer gani wanabei nzuri yaani website gani e.g BE FOWARD OR JAPAN USED CAR OR SBT JAPAN ambao mawakala wao wapo bongo yaan nisiliwe hela na gharama za kodi zipoje yaan napigaje hadi nilifikishe mlangon
Halafu nimesikia wafanyakazi wa serikali bei zao za kodi zipo chini kuna ukweli katika hili na ninafanyaje hili nipate punguzo hilo
NATANGULIZA SHUKRAN ZANGU ZA DHATI KWA WATAKAOSAIDIA
FOB
CIF
BID
Hivyo vyote vina maana gani na dealer gani wanabei nzuri yaani website gani e.g BE FOWARD OR JAPAN USED CAR OR SBT JAPAN ambao mawakala wao wapo bongo yaan nisiliwe hela na gharama za kodi zipoje yaan napigaje hadi nilifikishe mlangon
Halafu nimesikia wafanyakazi wa serikali bei zao za kodi zipo chini kuna ukweli katika hili na ninafanyaje hili nipate punguzo hilo
NATANGULIZA SHUKRAN ZANGU ZA DHATI KWA WATAKAOSAIDIA