Msaada wa kuachana na wanamke king'ang'anizi kama kucha kidoleni!

adden

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
7,037
15,525
Hii kweli kali,
Naomba tumsaidie huyu ndugu yetu aliekosa raha na amani ya kuishi duniani.

Kuna mdada alimtokea akakubali sasa kila siku zinavyoenda ni kupigiwa simu na msg na huyo dada yaani hampi nafasi ya kupumua!inatokea demu anafanyia hadi ziara za kushtukiza magetoni kwa jamaa. Jamaa imefikia hapokei simu yake wala hajibu msg anachotaka demu achoke tu maana yeye haitaji kuwa na mwanamke sasahivi!

Kila wkt demu akija jamaa hamfungulii mlango labda atakata tamaa lakini wapi demu analala hadi nje kusubiri jamaa huku akilia!jamaa anatamani hata kuhama lakini ndio kodi kashalipa ya mwaka.

Ana wakati mgumu afanyeje maana anaona maisha yake yanakuwa magumu sababu ya huyu manzi.

Kama kuna aliewahi kukutana na hii embu alete maujanja jinsi kuepuka makupe kama huyu manzi
 
hii kweli kali,
naomba tumsaidie huyu ndugu yetu aliekosa raha na amani ya kuishi duniani.
kuna mdada alimtokea akakubali sasa kila siku zinavyoenda ni kupigiwa simu na msg na huyo dada yaani hampi nafasi ya kupumua!inatokea dem anafanyia hadi ziara za kushtukiza magetoni kwa jamaa.jamaa imefikia hapokei simu yke wala hajibu msg anachotaka dem achoke tu maana yeye haitaji kuwa na mwanamke sasahivi!
kila wkt dem akija jamaa hamfungulii mlango lbd atakata tamaa lakini wapi dem analala hadi nje kusubiri jamaa huku akilia!jamaa anatamani hata kuhama lakini ndio kodi kashalipa ya mwaka.
ana wakati mgumu afanyaje maana anaona maisha yke yanakuwa magumu sbb y huyu manzi kupe.
kama kuna aliewahi kukutana na hii embu alete maujanja jinsi kuepuka makupe km huyu manzi

kazi ipo.
 
Huyo jamaa atafute ndugu yake au ata mtoto wa rafiki ake akae nae ili demu akija anamuambia hapa hatuwezi fanya lolote kuna ndugu yangu na akipiga cm usiku jamaa asipokee anamwambia huyu ndugu yangu ni mwanafunzi anasoma cwez kumsumbua..kwa muda wa miezi sita...ikiwa bado anaendelea basi muoe ni mke toka kwa bwana
 
huyo rafiki yako he is not a man enough,mwanamme alokamilika anakua na msimamo hata kama jambo hulitaki nikiyasi chakumwambia kua hawezi kuendelea na yeye as simple as that,sio kujificha ndani kama Binti mara hapokei cm hizo ni tabia za kike Mwanamme alotimia hawezi kufanya visa hivyo Shame on him..
 
Kosa lake alifikiri wanawake ni mchanga tu hauna thamani anawachimbua then anawaacha anavyojisikia,kumbe siyo mchanga ni makinikia mwache akome. Lazima alipe hasara aloingiza kwa huyo bidada. Makinikia siyo mchezo hayajawai acha mtu salama.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom