Gamaha
JF-Expert Member
- Jul 17, 2008
- 3,815
- 4,861
nimeishi na huyu mwanamke kwa mda wa miezi 11, na tayari nilikuwa nimezaa naye kabla ya hapo, mtoto wetu ana miaka mitatu sasa. kisa kilichotokea ni kwamba mwezi wa saba tulikuwa tunajadili kufunga ndoa ili tukae kihalali kwa maana ya misingi ya DINI.
lkn bahati mbaya au nzuri huyu mwenzangu alikuwa kaokoka. na akawa anadai kuwa kama nataka kumuoa basi tukafunge harusi kanisani kwao ambalo ni kanisa la kilokole. mimi nasali lutherani na yeye before alikuwa anasali lutherani pamoja na wazazi weu wote wanasali lutherani, ubishi ulienda mpaka ikafikia harusi kuahilishwa na ikabidi tutengane.
Hapa ndio ugomvi unapotokea yeye anasema kwa kuwa anahama basi mtoto wetu wa miaka mitatu tumpeleke shule ya bodding kwa sababu na yeye anafanya kazi hivyo itakuwa busy. nimekubaliana naye na gharama za kumpeleka mtoto shule ntatoa kwa aslimia 100.
Gharama za kumludisha mfanya kazi wetu wa ndani ambaye anatoka mbeya pamoja na kumlipa angalau ahsante ya kukaa naye pamoja ntaghalamia mimi kwa asilimia 100.
LKN pia anataka nimlipie kodi ya nyumba yake atakayo hamia yeye kama yeye sababu mtoto atakuwa tayari shule na anasema nisipo fanya hivyo anaenda kwenye sheria ili niweze kukidhi haja zake. kumbuka kuwa mshahara wangu na wake wa kwake ndio mkubwa. naomba ufafanuzi wa kisheria je ninapaswa kufanya haya yote kwa huyu mama tunaye achana, ambaye hata ndoa hatukufunga bado.
lkn bahati mbaya au nzuri huyu mwenzangu alikuwa kaokoka. na akawa anadai kuwa kama nataka kumuoa basi tukafunge harusi kanisani kwao ambalo ni kanisa la kilokole. mimi nasali lutherani na yeye before alikuwa anasali lutherani pamoja na wazazi weu wote wanasali lutherani, ubishi ulienda mpaka ikafikia harusi kuahilishwa na ikabidi tutengane.
Hapa ndio ugomvi unapotokea yeye anasema kwa kuwa anahama basi mtoto wetu wa miaka mitatu tumpeleke shule ya bodding kwa sababu na yeye anafanya kazi hivyo itakuwa busy. nimekubaliana naye na gharama za kumpeleka mtoto shule ntatoa kwa aslimia 100.
Gharama za kumludisha mfanya kazi wetu wa ndani ambaye anatoka mbeya pamoja na kumlipa angalau ahsante ya kukaa naye pamoja ntaghalamia mimi kwa asilimia 100.
LKN pia anataka nimlipie kodi ya nyumba yake atakayo hamia yeye kama yeye sababu mtoto atakuwa tayari shule na anasema nisipo fanya hivyo anaenda kwenye sheria ili niweze kukidhi haja zake. kumbuka kuwa mshahara wangu na wake wa kwake ndio mkubwa. naomba ufafanuzi wa kisheria je ninapaswa kufanya haya yote kwa huyu mama tunaye achana, ambaye hata ndoa hatukufunga bado.