uzewela Senior Member Jul 29, 2020 119 261 Jun 17, 2021 #1 Naomba msaada kwa mtu yoyote mwenye kujua namna ya ku unlock iPhone 8 ni ya marehemu brother angu. Hakuna anaejua password zaidi yake. RIP
Naomba msaada kwa mtu yoyote mwenye kujua namna ya ku unlock iPhone 8 ni ya marehemu brother angu. Hakuna anaejua password zaidi yake. RIP
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,216 54,840 Jun 17, 2021 #2 RIP bro wetu ila kama sio kweli, uko hatarini kudakwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha
uzewela Senior Member Jul 29, 2020 119 261 Jun 17, 2021 Thread starter #3 dronedrake said: RIP bro wetu ila kama sio kweli, uko hatarini kudakwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha Click to expand... Kweli bro, nitapata faida gani kwa kudanganya?
dronedrake said: RIP bro wetu ila kama sio kweli, uko hatarini kudakwa kwa kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha Click to expand... Kweli bro, nitapata faida gani kwa kudanganya?
A Allydasmartboy001 JF-Expert Member Jul 14, 2018 599 206 Jun 18, 2021 #5 uzewela said: Kweli bro, nitapata faida gani kwa kudanganya? Click to expand... Njoo PM tuonge biashara
uzewela said: Kweli bro, nitapata faida gani kwa kudanganya? Click to expand... Njoo PM tuonge biashara