Msaada wa ku-unlock Huawei modem

masapa

Member
Oct 4, 2007
11
4
WanaJF nawaomba msaada kupata unblock code ya modem yangu.
Model: E1550
IMEI: 3529 6504 3912508

Natanguliza shukurani
 
Nawashukuru sana CalvinPower an Expedito Mduda, ila codes zenu zina-differ. Which is which?

Thanx
 
Nawashukuru sana CalvinPower an Expedito Mduda, ila codes zenu zina-differ. Which is which?

Thanx

tumia zangu na calvini ni moja za expedito ndio tofauti tupe jibu ni zipi zilizokubali
 
Unlock code yako ni 41762967
Kwanza thanks to Dr Phone for his post

Mkuu Expredito umetumia algo gani ku calculate hizo codes kwa imei aliyotuma masapa.
je unaweza calculate IMEI number hii 123456789012347
ok hii hapa chini ni simple fomula check it out

MD5 ("1234567890123475e8dd316726b0335") = 8f 43 ae 1a 33 19 c6 49 cc 57 40 8b 6a 39 2d 6b

8f xor 33 xor cc xor 6a =1a
43 xor 19 xor 57 xor 39 =34
ae xor c6 xor 40 xor 2d =05
1a xor 49 xor 8b xor 6b =b3

1a3405b3 and 1ffffff or 2000000 = 23405B3

hex2dec (23405B3) = 36963763 -> unlock code

Kuna software niliitengeneza kutumia hii algo sikumbuki iko wapi nitaitafuta na kuipost hapa kesho.
 
Kwanza thanks to Dr Phone for his post

Mkuu Expredito umetumia algo gani ku calculate hizo codes kwa imei aliyotuma masapa.
je unaweza calculate IMEI number hii 123456789012347
ok hii hapa chini ni simple fomula check it out

MD5 ("1234567890123475e8dd316726b0335") = 8f 43 ae 1a 33 19 c6 49 cc 57 40 8b 6a 39 2d 6b

8f xor 33 xor cc xor 6a =1a
43 xor 19 xor 57 xor 39 =34
ae xor c6 xor 40 xor 2d =05
1a xor 49 xor 8b xor 6b =b3

1a3405b3 and 1ffffff or 2000000 = 23405B3

hex2dec (23405B3) = 36963763 -> unlock code

Kuna software niliitengeneza kutumia hii algo sikumbuki iko wapi nitaitafuta na kuipost hapa kesho.


Tutashukuru kuipata hiyo software
 
Kuna software niliitengeneza kutumia hii algo sikumbuki iko wapi nitaitafuta na kuipost hapa kesho.

Jamani tuacheni kudanganyana kama watoto. Haujatengenza hii software ya ku unlock huwaei. software hizi software na tools hizo zipo online sema kama umeiwekea interface yako

Kuna mtu naye juzi juzi alinadika kuwa katengeza virus ukingalia code alishindwa hata ujannja wa kubadilisha variables.
 
Jamani tuacheni kudanganyana kama watoto. Haujatengenza hii software ya ku unlock huwaei. software hizi software na tools hizo zipo online sema kama umeiwekea interface yako

Kuna mtu naye juzi juzi alinadika kuwa katengeza virus ukingalia code alishindwa hata ujannja wa kubadilisha variables.

mkuu punguza ukali wa maneno hili ni jamvi la maujuzi cha msingi angalia kichotolewa kinafanyakazi husika au la, angalia code zinazotolewa zinafanya kazi haya ndio mambo ya msingi ndio utakubali akuna anaedanganya hapa na hapa jamvini utamdanganya nani kuna kila watu wa hidara humu pamekamilika mkuu tatizo letu tunapenda kutiliamashaka jambo la kweli
 
Jamani tuacheni kudanganyana kama watoto. Haujatengenza hii software ya ku unlock huwaei. software hizi software na tools hizo zipo online sema kama umeiwekea interface yako

Kuna mtu naye juzi juzi alinadika kuwa katengeza virus ukingalia code alishindwa hata ujannja wa kubadilisha variables.
stay tuned for more information later.
 
mkuu punguza ukali wa maneno hili ni jamvi la maujuzi cha msingi angalia kichotolewa kinafanyakazi husika au la, angalia code zinazotolewa zinafanya kazi haya ndio mambo ya msingi ndio utakubali akuna anaedanganya hapa na hapa jamvini utamdanganya nani kuna kila watu wa hidara humu pamekamilika mkuu tatizo letu tunapenda kutiliamashaka jambo la kweli

Dr nawakubali wewe na clavin kwenye lakini Mtu akianza uwongo anajishushia na kushusha heshima ya utaalam wake

Mbona wewe sijawai kukutilia mashaka Kama ulivyosema tumo watu wa kila iadara kwa hiyo mtu akiamua kuandika uwongo inabidi aandike uwongo ulioenda shule.

Sasa mtu akisema ka code wengine tunapenda kujua na kuona :

  • hiyo mistari ya program aliyonadika (Lines of code)
  • Atueleze progam katumia language gani na ina Module ngapi (Program Modules)
  • kila Module ina invoke au kuacess funntion gani na inaenda kuchange kitu gani specific kwenye modem ( Eg Controller, Memory,etc). Hizi number kwenye modem zinahifadhiwa wapi?
  • Algorithm ya kulock HUWAWEI aliijuaje au aliipata wapi maona bila hiyo asingewe kujua algorith ya kununlcok .
Angalia kuna thread nimeona kuna watu wanasema kuna windows 8. Kuna wajanja wamebalisha interface ya windows7 au VISTA then wanawapotosha watu.

Calvin Power atanisamehe kuwa simwamini( Anaposema amecode) ndio maana tuko kupeana changamoto na kuelmishana. end user wengine wana knowlenge na wako kama Tomaso

We are profffesional but lets not over do.
 
Dr nawakubali wewe na clavin kwenye lakini Mtu akianza uwongo anajishushia na kushusha heshima ya utaalam wake

Mbona wewe sijawai kukutilia mashaka Kama ulivyosema tumo watu wa kila iadara kwa hiyo mtu akiamua kuandika uwongo inabidi aandike uwongo ulioenda shule.

Sasa mtu akisema ka code wengine tunapenda kujua na kuona :

  • hiyo mistari ya program aliyonadika (Lines of code)
  • Atueleze progam katumia language gani na ina Module ngapi (Program Modules)
  • kila Module ina invoke au kuacess funntion gani na inaenda kuchange kitu gani specific kwenye modem ( Eg Controller, Memory,etc). Hizi number kwenye modem zinahifadhiwa wapi?
  • Algorithm ya kulock HUWAWEI aliijuaje au aliipata wapi maona bila hiyo asingewe kujua algorith ya kununlcok .
Angalia kuna thread nimeona kuna watu wanasema kuna windows 8. Kuna wajanja wamebalisha interface ya windows7 au VISTA then wanawapotosha watu.

Calvin Power atanisamehe kuwa simwamini( Anaposema amecode) ndio maana tuko kupeana changamoto na kuelmishana. end user wengine wana knowlenge na wako kama Tomaso

We are profffesional but lets not over do.

Nimeshakusamehe kwa kutoniamini.
 
calvinpower au yoyote naomba msaada,
>>nilikua nataka unlock modem ya vodacom (vodafone k3565z na vodafone k3565)
>>pia modem ya TTCL (Huawei EC121)
nimekwisha jaribu program kadhaa za ku-unlock modem but hizo hapo juuu nimeshindwa tofauti na modem za zain (E1550) ambazo naona kama ni rahisi ktk unlocking kwasababu hazijanisumbua kabisa,yoyote anaweza kunisaidai mawazo,
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom