The August
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,080
- 2,024
Hello Technicians!
Mimi ni 'old school' kidogo na niko natumia simu hii bold 9000. Sasa nina changamoto kadhaa.
1. Nilikua nikitumia kifurushi cha Vodacom Social nilikua nina access net bila shida. Changamoto ikawa App World. Nikaamua kujiunga Kifurushi cha Absolute Blackberry Internet Service BIS. sasa tangu nimejiunga net haifanyi kazi kwa maana haionyeshi kabisa kuwa service inafanya kazi. Je hili nalitatua vip?
2. App world siipati..
3. Je ipo namna ya kuiwezesha whatsapp kufanya kazi?
Mimi ni 'old school' kidogo na niko natumia simu hii bold 9000. Sasa nina changamoto kadhaa.
1. Nilikua nikitumia kifurushi cha Vodacom Social nilikua nina access net bila shida. Changamoto ikawa App World. Nikaamua kujiunga Kifurushi cha Absolute Blackberry Internet Service BIS. sasa tangu nimejiunga net haifanyi kazi kwa maana haionyeshi kabisa kuwa service inafanya kazi. Je hili nalitatua vip?
2. App world siipati..
3. Je ipo namna ya kuiwezesha whatsapp kufanya kazi?