Gari yangu 1KZ inapoteza nusu lita ya maji kila siku, lakini haichemshi kamwe. Radiator ilishasafishwa hivi majuzi, mfuniko ushabadilshwa mara mbili, lakini bado inapoteza maji.
Kwenye reserve tank yako hayaongezeki hayapungui, na hakuna dalili zozote za engine oil kwenye radiator wala reserve tank.
Natumia coolant ya kijani. Trip zangu zenyewe wala sio kuumiza gari, ni kibaruani na kurudi, sina misele.
Yanaenda wapi maji?
Naomba kuwasilisha, natanguliza shukrani.
Kwenye reserve tank yako hayaongezeki hayapungui, na hakuna dalili zozote za engine oil kwenye radiator wala reserve tank.
Natumia coolant ya kijani. Trip zangu zenyewe wala sio kuumiza gari, ni kibaruani na kurudi, sina misele.
Yanaenda wapi maji?
Naomba kuwasilisha, natanguliza shukrani.