Deaf Milionaire
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 426
- 496
Wakuu heri ya sikukuu ya Pasaka,
Kuna ndugu yangu alikuwa mzima wa afya, baada ya kuumwa Malaria,kutokana na zile dawa alizotumia, masikio yameziba. Katika kuhangaika kumtibia ndio nasikia kuna kifaa jina hearing amplifier, inafaa nimnunulie.
Sasa msaada wa kitaalam nahitaji, pia ni wapi naweza uziwa hicho kifaaa. PM zitajibiwa. Ahsante.
Kuna ndugu yangu alikuwa mzima wa afya, baada ya kuumwa Malaria,kutokana na zile dawa alizotumia, masikio yameziba. Katika kuhangaika kumtibia ndio nasikia kuna kifaa jina hearing amplifier, inafaa nimnunulie.
Sasa msaada wa kitaalam nahitaji, pia ni wapi naweza uziwa hicho kifaaa. PM zitajibiwa. Ahsante.