utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,657
Habari zenu wanajf.
Ni sababu zipi zinapelekea mtu kupoteza uraia wa Tanzania? Mtu amekaa nje ya Tanzania zaidi ya miaka 10 inaweza kuwa sababu uraia wake kupotea? Ni sababu zilipi zilizopo kwasasa kuhusu wazaliwa wasioishi Tanzania? Mtu alie na uraia wa nchi nyengine nae inakuaje kwa sheria za Tanzania?
Ni sababu zipi zinapelekea mtu kupoteza uraia wa Tanzania? Mtu amekaa nje ya Tanzania zaidi ya miaka 10 inaweza kuwa sababu uraia wake kupotea? Ni sababu zilipi zilizopo kwasasa kuhusu wazaliwa wasioishi Tanzania? Mtu alie na uraia wa nchi nyengine nae inakuaje kwa sheria za Tanzania?