Habari zenu ndugu wasomaji ni matumaini yangu mu wazima wa afya .Kuna dada yangu kapelekwa polisi na wenzake kisa wamemkopeshea pesa. Tulienda polisi kumwekea mthamana lakini askari walisema hiyo pesa anayo shitakiwa nayo nikubwa sana mil 18 walewalio mkopeshe kila moja alimkopeshea kwa muda wake pesa jumla ni kama milion 6 lakini chakushangaza wameungana wote watatu wakasema wamempa mil 18 Alafu akuna kitu walichowekeana mthamana dada kaachiwa maelezo kashatoa kwa mpelelezi kila siku tunaambiwa turudi polisi kisa kwamba wale wanawake bado hawaja toa maelezo yao ushauri please