The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Naomba kuelimishwa kwa Sheria zetu za mtandao zinahusu Mtanzania yeyote aliepo popote au lazima awe anaishi Tanzania?
Ukitukana mtu Instagram sheria inasemaje Kama uko Tanzania? Kama uko nje?..
Ukianzisha kampuni ya porn mfano uko nje ya Tanzania but wewe ni Mtanzania sheria inakubana? Kivipi? Mfano upo Kenya..
Ukitukana mtu Instagram sheria inasemaje Kama uko Tanzania? Kama uko nje?..
Ukianzisha kampuni ya porn mfano uko nje ya Tanzania but wewe ni Mtanzania sheria inakubana? Kivipi? Mfano upo Kenya..