msaada wa kisheria!!!

Mbagala

New Member
Oct 6, 2011
1
0
hodi jamvini,great thinkers!!

ndoa yangu ni ya kikristo na imedumu kwa miaka 8 sasa na kupata mtoto mmoja wa kiume wa miaka 6. kumekuwa na kushutumiana na kutoaminiana mimi na mke wangu kwa muda mrefu sasa (chronic infedility). tuliwahi kutengana wakati fulani kwa miezi kadhaa then tukarudiana. miezi michache iliyopita tumetengana tena ila safari hii ime-involve wazazi na ndugu kadhaa pia tuliandikiana hati ya kutengana ambayo tuliisaini wote wawili na mashahidi kwenye hicho kikao kwamba wote wawili tumekubaliana kutengana kwa hiari baada ya long standing irrepearable conflicts. Tuli-set deadline ya separation ambayo ita-expire mwisho wa mwezi ujao. Kama hakutakuwa na reconcilliation hadi deadline basi tunapeana talaka rasmi na ndivyo inavyoelekea kuwa yaani hakuna anayetaka kurejea kwa mwenzake.
Naomba msaada wa maswali yafuatayo
  1. hati ya kutengana tuliyoandikiana na kuisaini ya kutengana mbele ya wazazi na mashahidi wengine ina nguvu/uhalali gani wa kisheria?
  2. nini tufanye ili kupeana divorce yenye nguvu ya kisheria baada ya deadline ya kutengana kupita?
  3. je, mmoja wetu akiwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu mwingine during separation ni kosa kisheria?
 
Pole sana Mbagala:

Awali ya yote, Ndoa ieshimiwe na watu wote:

Kuhusiana na suala lako, unatakiwa kwanza upeleke suala lako (pamoja na hayo makubaliano yenu) kwenye baraza za ushauri la ndoa ( kata?). Baraza litapitia na kutoa uamuzi /kibali kama litashindwa kuwasuruhisha. Baada ya hapo unaweza kwenda mahakamani iliyoko katika eneo lenu la makazi(area of domicile) na kufungua shauri la ndoa (kuomba taraka). Kamahuitaji wakili, then unaweza kwenda mahakama ya mwanzo na kufungua shauri lako.

Swali; Je, ndoa yenu ilibarikiwa watoto? kumbuka kuna suala la kugawana mali/mapato, je mlisaini pre-nuptial agreement?

Ombi langu: kama unaweza kwenda kwa wazee wa kanisa kupata ushauri nasaa itakuwa ni vema na haki.
 
kuhusu mtoto mbona mtoa hoja ameeleza hapo juu? mbona swali lake la kuwa na mpenzi wakati wa separation hujamjibu?
 
hodi jamvini,great thinkers!!

ndoa yangu ni ya kikristo na imedumu kwa miaka 8 sasa na kupata mtoto mmoja wa kiume wa miaka 6. kumekuwa na kushutumiana na kutoaminiana mimi na mke wangu kwa muda mrefu sasa (chronic infedility). tuliwahi kutengana wakati fulani kwa miezi kadhaa then tukarudiana. miezi michache iliyopita tumetengana tena ila safari hii ime-involve wazazi na ndugu kadhaa pia tuliandikiana hati ya kutengana ambayo tuliisaini wote wawili na mashahidi kwenye hicho kikao kwamba wote wawili tumekubaliana kutengana kwa hiari baada ya long standing irrepearable conflicts. Tuli-set deadline ya separation ambayo ita-expire mwisho wa mwezi ujao. Kama hakutakuwa na reconcilliation hadi deadline basi tunapeana talaka rasmi na ndivyo inavyoelekea kuwa yaani hakuna anayetaka kurejea kwa mwenzake.
Naomba msaada wa maswali yafuatayo
  1. hati ya kutengana tuliyoandikiana na kuisaini ya kutengana mbele ya wazazi na mashahidi wengine ina nguvu/uhalali gani wa kisheria?
  2. nini tufanye ili kupeana divorce yenye nguvu ya kisheria baada ya deadline ya kutengana kupita?
  3. je, mmoja wetu akiwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu mwingine during separation ni kosa kisheria?

Hati hiyo haina nguvu kisheria. Ndoa ya kikiristo inavunjwa na mahakama. Process yote ianzie kwa usuluishi, usikurupuke kwenda mahakamani utarudishwa uanzie chini-your petition for divorce will be incompetent and subject ot be struck out.

Namba 2: Nenda mahakamani, anzia kwenye usuluishi as pointed above. Petition for divorce and division of matrimonial proporties

Namba3: Kisheria ipo kama utamshika kwa ugoni, ni vigumu to prove infidelity, ingawa under balance of probability you can make your case. Separation haimpi mwanandoa ruksa ya kuzini yeye bado ni mke wa mtu na mume wa mtu.
 
Back
Top Bottom