Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Naomba kujua yafuatayo sheria inasemaje.
Mfano mwanaume ameoa mke wa ndoa na hawana watoto kabisa na ikatokea yule mwanaume akafariki na wakati kabla hajafariki aliacha osia kuwa atakayeridhi mali zake zote ni mtu mwingine kabisa labda mtoto wa kaka yake. Sasa hapo sheria inasemaje kwa yule mke wa ndoa ataachwa bila kitu au anaweza kudai.naomba kujua kutoka kwa wanasheria.
Mfano mwanaume ameoa mke wa ndoa na hawana watoto kabisa na ikatokea yule mwanaume akafariki na wakati kabla hajafariki aliacha osia kuwa atakayeridhi mali zake zote ni mtu mwingine kabisa labda mtoto wa kaka yake. Sasa hapo sheria inasemaje kwa yule mke wa ndoa ataachwa bila kitu au anaweza kudai.naomba kujua kutoka kwa wanasheria.