Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,712
Nina maswali 2 hapa.
1. Kwa mfano siku ya kwenda mahakamani imefika, imetokea mshtakiwa wako amefika alafu wewe mshtaki hujafika hiyo siku, mahakama huwa inatoa tamka gani, au nini kitafuata? Au umeamua hiyo kesi uipotezee kabisa ila bila kutoa taarifa mahali popote, ila mda huo mshtakiwa wako yupo nje kwa mdhamana.
2. Jinsi gani unaweza kudai fidia juu ya mshtakiwa wako, i mean zile cost ambazo ulikuwa unaingia wakati unafuatilia kesi kuanzia kituo cha polisi mpka kufika mahakamani, cost kama za usafiri, etc....
1. Kwa mfano siku ya kwenda mahakamani imefika, imetokea mshtakiwa wako amefika alafu wewe mshtaki hujafika hiyo siku, mahakama huwa inatoa tamka gani, au nini kitafuata? Au umeamua hiyo kesi uipotezee kabisa ila bila kutoa taarifa mahali popote, ila mda huo mshtakiwa wako yupo nje kwa mdhamana.
2. Jinsi gani unaweza kudai fidia juu ya mshtakiwa wako, i mean zile cost ambazo ulikuwa unaingia wakati unafuatilia kesi kuanzia kituo cha polisi mpka kufika mahakamani, cost kama za usafiri, etc....