Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
We acha tu, neno kwa mwanasheria huwa ni moja tu: TELL ME THE TRUTH- Na ndio njia rahisi ya kutoa msaada si vinginevyo. mawakili wengi do escape kesi nyingi baada ya kubaini kuna ukweli mwingine ambao ulikuwa nyuma ya pazia ila alifichwa sasa anaona kama mteja wake anataka kumdhalilisha yeye na taaluma yake. He/she decides to drop the case unabaki unamtafuta wakili mwingine.Uliiba kitu gani Mkuu, mbona uficha ficha? Sasa unataka sisi Wanasheria Wasomi tukushauri vipi ikiwa hutaki kunyoosha maneno??