Msaada wa Kisheria

Sina barua ya mimi kutoenda kazini,nilimuuliza boss akasema ongea na wakiliwa pia akatuma namba, wakili ndiye wa kwanza kusema mimi ni design nikakataa
Miezi 2 ndio iwepo polisi kweli? au tuseme ofisi iliwaomba polisi wafanya investigation na wawape majibu ila nia ya ofisi sio kuipeleka mahakamani na si ajabu imebainika kuwa hamna hatia sasa wanaona aibu kutangaza ila wanawashawishi muache kazi wenyewe waepuke mengi haya. Unaendelea na kazi? bado umesimamishwa huendi kazini walikupa barua ya kusimamishwa kazi?
 
1. Ni kosa kubwa sana wewe kutokwenda kazini hii inaweza ikawa basis ya kukuachisha kazi kama mkataba unavyosema kuwa usipoonekana kazini ndani ya siku kazaa mkataba wako utakuwa terminated iyo ni moja ya kosa inayoweza kufuta mkataba wako, 2. unatakiwa kuwepo kazini mpaka hapo utakapokuwa umepewa barua ya kusimamishwa au notisi ya kusimamishwa kazi, unaweza ukaenda ukafikia ofisini kwako kama kuna kazi unafanya kama hamna unakaa tu mpaka bosi wako akupe barua ambayo itakuwa ina sababu za wewe kusimamishwa. 3. Hata sasa hivi wakikataa kukulipa mshahara wana haki kwakuwa hauonekani kazini. 4. Kazini kuna register mnapo ripoti kila siku hii inaonyesha rekodi ya mahudhurio yako kazini hii ni muhimu sana signature yako kuonekana umeripoti huko. 5. J3 nenda kazini moja kwa moja uonane na Boss wako ana kwa ana umeueleze unarudi kazini kwakuwa huoni kinachokufanya ubaki nyumbani na usiendelee kufanya kazi umsikilize atakavyo kujibu maana hata mwanasheria hana haki ya kukushawishi uache kufanya kazi eti u resign sababu ni ipi hana sababu yoyote. kama polisi wameshatoa ripoti na umekuwa mtuhumiwa akueleze ujue na ofisi ikupe kwa maandishi. Umenielewa hapo, una swali
Hapana mkuu kazini siendi
.
 
Iko hivi naona hata ww hujaelewa, ukiambiwa mtu ana mkataba wa kudumu maana yake mpaka afikie umri wa kustaafu yan miaka 55 au 60 ndio mkataba wake utakuwa umeishia hapo. umeelewa sasa
Kampuni ikifa?
 
1. Ni kosa kubwa sana wewe kutokwenda kazini hii inaweza ikawa basis ya kukuachisha kazi kama mkataba unavyosema kuwa usipoonekana kazini ndani ya siku kazaa mkataba wako utakuwa terminated iyo ni moja ya kosa inayoweza kufuta mkataba wako, 2. unatakiwa kuwepo kazini mpaka hapo utakapokuwa umepewa barua ya kusimamishwa au notisi ya kusimamishwa kazi, unaweza ukaenda ukafikia ofisini kwako kama kuna kazi unafanya kama hamna unakaa tu mpaka bosi wako akupe barua ambayo itakuwa ina sababu za wewe kusimamishwa. 3. Hata sasa hivi wakikataa kukulipa mshahara wana haki kwakuwa hauonekani kazini. 4. Kazini kuna register mnapo ripoti kila siku hii inaonyesha rekodi ya mahudhurio yako kazini hii ni muhimu sana signature yako kuonekana umeripoti huko. 5. J3 nenda kazini moja kwa moja uonane na Boss wako ana kwa ana umeueleze unarudi kazini kwakuwa huoni kinachokufanya ubaki nyumbani na usiendelee kufanya kazi umsikilize atakavyo kujibu maana hata mwanasheria hana haki ya kukushawishi uache kufanya kazi eti u resign sababu ni ipi hana sababu yoyote. kama polisi wameshatoa ripoti na umekuwa mtuhumiwa akueleze ujue na ofisi ikupe kwa maandishi. Umenielewa hapo, una swali

.
Mkuu nimekuelewa, je kwa hapa nilipofika naweza kwenda ofisini au niulize kuwa kama naweza kwend kwa bosi? Mana nilipopata dhamana niliuliza kuwa niende bosi akasema, niongee na mwanasheria wake,
 
Mwanasheria huwa ni wa ofisi sio wa mtu binanfsi na kama ofisi au kampuni haina mwanasheria badala yake anamtumia wakwake binafsi kama consultant kwa kampuni basi, laikini iwe siri yako ni kwamba waki review mkataba wako unavyosema basi wanaweza waka terminate. sasa nakushauri hivi ila tatizo sijui kosa lililowafanya mpelekwe polisi nijue kama ni kosa ambalo linaweza likafikirika kurudishwa kazini au la. (njoo PM unambie kosa ili nipate wazo lingine na kipi cha kufanya) ujue unapoomba kutaka msaada wa kisheria ukiwa msiri huwezi saidika tunaweza tunazungumzia kitu kumbe yapo mengine nyuma ya pazia. sasa kabla sijaendelea pm kosa then nitaendelea
Mkuu nimekuelewa, je kwa hapa nilipofika naweza kwenda ofisini au niulize kuwa kama naweza kwend kwa bosi? Mana nilipopata dhamana niliuliza kuwa niende bosi akasema, niongee na mwanasheria wake,
 
Mwanasheria huwa ni wa ofisi sio wa mtu binanfsi na kama ofisi au kampuni haina mwanasheria badala yake anamtumia wakwake binafsi kama consultant kwa kampuni basi, laikini iwe siri yako ni kwamba waki review mkataba wako unavyosema basi wanaweza waka terminate. sasa nakushauri hivi ila tatizo sijui kosa lililowafanya mpelekwe polisi nijue kama ni kosa ambalo linaweza likafikirika kurudishwa kazini au la. (njoo PM unambie kosa ili nipate wazo lingine na kipi cha kufanya) ujue unapoomba kutaka msaada wa kisheria ukiwa msiri huwezi saidika tunaweza tunazungumzia kitu kumbe yapo mengine nyuma ya pazia. sasa kabla sijaendelea pm kosa then nitaendelea
Nakuja pm
 
Sasa iko hivi, kwanza huajasema mkataba wako wa kazi unaisha lini, unaposaini mkataba wa ofisi ujue tu kwamba ofisi inaweza ika terminate mkataba wako muda wowote utakapo patikana una makosa ambayo utaratibu wa kuhojiwa umefuatwa na ukaonekana kuna makosa, inategemea wanaweza wakakusamehe au hapana, mara nyingi ofisi inaangalia security ya mali zao na fedha zao, Benki kuisainisha ofisi barua ili wakupe hela ilikuwa ni kujiridhisha kuwa wewe ni mfayakazi pale na mwajiri wako awahakikishie kuwa mkopo ule utaweza kulipwa kutokana na mshahara unao upata, mabenki mengi huwa yanawaomba waajiri kuwasaidia na taarifa pale ambapo kutakuwa na tatizo ili wasipoteze dedha zao, ofisi nyingi ukipatwa na kitu huwa wanakusimamisha kazi kwanza hadi hapo uchunguzi utakapo malizika ila wao huwa wanataswira ya kesi iliyopo kuwa either utapona au hutapona sasa wanacho kifanya ni kuzuia kwanza mshahara wako endapo una daiwa na ofisi hata mafao yako ili ikitokea umetoka salama watakulipa mishahara yako yote na mafao ambayo yalikuwa yamezuiliwa. ofisi kuzuia mshahara kwa sababu una makosa na umesimamishwa kazi na uchunguzi unaendelea inaweza ikawa sawa au isiwe sawa kwanini: kwasababu wao wanahisi unaweza ukaamua kukimbia kwakuwa una makosa na ukawa umeshapokea mishahara yako yote, kwa usalama zaidi wanazuia mishahara ili wajilipe madeni kwakuwa una matatizo kazini na wakuachie mshahara ambao utakuwa hudaiwi, boss wako kuongea na benki wakate deni ni kutokana na wao kuwahakikishia kuwa awali walikukabidhi kwao ukopeshwe ila kwa sasa hawako tena na wewe na hawataki kuulizwa badae.
Sasa iko hivi ukiona bossi ana Loby kuwa u resign usiendelee na kazi ni kosa kubwa sana maana yake wanaona iyo kesi utaishinda na ukishinda unaweza ukaishitaki ofisi kwa kuku chafua hata hivyo ukiwa nje bado tu unaweza ukawashtaki so hawataki uinshinde ukiwa upo kazini kwa sababu kuna mambo ya hapo kazini walikuwa wamesha ku exclude hawataki uendelee.

Ushari 1.Acha wafanye wanayo yafanya kesi ikiisha maana utakuwa na ushahidi wa kesi kuisha na hukuwa na hatia ndio uanze kufuatilia mafao yako ambayo utakuwa uliyapoteza ili urudishiwe 2. kama mkataba utaisha kabla ya kesi kumalizika na mishahra yako yote hukuipata basi watakulipa yote kwa wewe kuandika barua ya kuomba ulipwe mishahara yote maana bado ulikuwa ni mtumishi, japokuwa kuna terms za kwenye mkataba ambazo zinaweza zikasema kuwa mtu akiwa na matatizo na ofisi atasimamishwa na atavumiliwa kwa kipindi flan na baada ya hapo ataachishwa kazi kwa lazima, hilo ni la kuangalia. 3. Boss wako alitakiwa aendelee na mkataba wa kukata pesa zako kwa utaratibu ambao mlio jiwekea maana bado ni mfanyakazi sio lazima akate wote kulazimishwa mu resign ilikuwa ni njia ya kukutoa kwenye reli na pesa za ofisi azipate zote kwa pamoja. kwasasa usimshitaki bosi wako maana hutashinda kwa sababu bado kama mkataba wako uko hai na kesi haijaisha lazima atakushinda hapa ni kwenda taratibu sana umalizie kesi Loby na wewe kesi iishe haraka ili uanze kudai haki zako, mfano kama uliahidiwa baada ya kipindi flan unatakiwa upate kitu flan na hujapata kwakuwa ulisimamishwa kazi...

USIMSHTAKI BOSS WAKO KWANZA ACHA, medeni ya benki na kwa mwajiri wako acha wachukue ni pesa zao wanahaki ya kuzihitaji muda wowote wanapoona kua inafaa kutokana na misukosuko ambayo wanaona inaweza ikasababisha hasara kwao. subiri kesi iishe.
Mkuu Mungi umeongea kwa hisia zaidi japo sijamaliza kusoma!
 
Japo hujasema umeshtakiwa kwa kosa gani na lina uhusiano gani na boss, na ni hatua gani zimeshachukuliwa mpaka sasa dhidi yako, ila haya bado ni ya msingi;
1. Wewe bado ni mwajiriwa na hutakiwi kunyanyaswa au kupunjwa maslahi/ mshahara wako kwa vyovyote vile bila makubaliano yanayotengua yale ya awali.
2. Huyo boss wako naona ana-malice au siyo mwelewa.
3. Kama hujapokea mshahara wako ni kosa chini ya Sheria ya Ajira na Mahusiani Kazini na unaweza kufungua mgogoro wa maslahi katika Tume ya Usuluhishi na Uamuzi(CMA) ndani ya siku 60 tangu tatazo la kunyimwa/kupunjwa mshahara lilipojitokeza.

All the best!
 
Japo hujasema umeshtakiwa kwa kosa gani na lina uhusiano gani na boss, na ni hatua gani zimeshachukuliwa mpaka sasa dhidi yako, ila haya bado ni ya msingi;
1. Wewe bado ni mwajiriwa na hutakiwi kunyanyaswa au kupunjwa maslahi/ mshahara wako kwa vyovyote vile bila makubaliano yanayotengua yale ya awali.
2. Huyo boss wako naona ana-malice au siyo mwelewa.
3. Kama hujapokea mshahara wako ni kosa chini ya Sheria ya Ajira na Mahusiani Kazini na unaweza kufungua mgogoro wa maslahi katika Tume ya Usuluhishi na Uamuzi(CMA) ndani ya siku 60 tangu tatazo la kunyimwa/kupunjwa mshahara lilipojitokeza.

All the best!
Asante sana mkuu, lakini bosi mshahara alipeleka wote ila bank ndiyo waliamua kukata pesa yao yote kama rejesho kutokana na taarifa walizozipata kutoka kwa bosi. Kosa lilitendwa na manager wangu ambaye ni mtu wa karibu sana na mimi, so uchunguzi unafanyika kubaini kama nami nilihusika ama lah. Je bado ninaweza kwenda kufungua kesi ilihali ni bank ndiyo wamekata pesa yote?
Asante
 
Asante sana mkuu, lakini bosi mshahara alipeleka wote ila bank ndiyo waliamua kukata pesa yao yote kama rejesho kutokana na taarifa walizozipata kutoka kwa bosi. Kosa lilitendwa na manager wangu ambaye ni mtu wa karibu sana na mimi, so uchunguzi unafanyika kubaini kama nami nilihusika ama lah. Je bado ninaweza kwenda kufungua kesi ilihali ni bank ndiyo wamekata pesa yote?
Asante
Halafu hueleweki vizuri, kuna sehemu umesema boss alikukata mara benki n.k....Unapochukua mkopo benki, lazima kuwe na makubaliano ya jinsi ya urejeshwaji wa mkopo, kuwa watakata kiasi flani kwa mwezi. Kwenda kinyume na makubaliano ni kosa! Na sijui ni benki ya aina gani!
 
Nilikiwa na mikopo miwili, mkubwa wa bank na baadae nikakopa kwa bosi, mwezi huo huo niliyochukua mkopo kwa bosi ndiyo matatizo yalitokea kupelekea bosi kukata pesa zake zote mara moja tofauti na makubaliano ya kukata kwa awamu tatu. Kiasi kilochobaki alipeleka bank kama kawaida na bank wakakata pesa yao hivyo mimi mwezi huo (August) sikupata chochote. Mwezi September bosi alipeleka mshahara wote kwani yeye alikuwa hanidai tena lakini bank ndiyo na wao wakazui pesa zote. Natumai nimeeleweka mkuu
Halafu hueleweki vizuri, kuna sehemu umesema boss alikukata mara benki n.k....Unapochukua mkopo benki, lazima kuwe na makubaliano ya jinsi ya urejeshwaji wa mkopo, kuwa watakata kiasi flani kwa mwezi. Kwenda kinyume na makubaliano ni kosa! Na sijui ni benki ya aina gani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom