Msaada wa kisheria ya kazi

Oct 8, 2015
5
2
Habari, nilikuwa nikifanya kazi kwenye kampuni fulani ya uuzaji wa mafuta,nimefanya kazi kwa muda wa miezi 10 bila kupewa mkataba unaonifanya kujua haki na stahiki zangu kwa kipind chote mpka iipofka tar 30.11.2021 nikaamua kuacha kazi lkn hawatak kunipa barua inayothibitisha nimeacha kaz ili niweze kufatilia haki zangu,je ninahaki zangu zozote za kisheria hapo??
 
Habari, nilikuwa nikifanya kazi kwenye kampuni fulani ya uuzaji wa mafuta,nimefanya kazi kwa muda wa miezi 10 bila kupewa mkataba unaonifanya kujua haki na stahiki zangu kwa kipind chote mpka iipofka tar 30.11.2021 nikaamua kuacha kazi lkn hawatak kunipa barua inayothibitisha nimeacha kaz ili niweze kufatilia haki zangu,je ninahaki zangu zozote za kisheria hapo??

Kilichokufanya kuacha kazi ni nini..? Je ni kutoka na wao kukunyima mkataba au ni sababu zipi hasa zimepelekea..? From there ndo kwa mtazamo wa kisheria unaweza kuestablish grounds za kuclaim hizo haki zako. Lakini pia uliachaje kazi..? Kwa utaratibu wa kisheria i mean resignation kwa barua au uliondoka tu na kutoonekana kazini tena..?
 
Hiyo ni ajira au kibarua.

Sasa kama hamkuwa na makubaliano yoyote ya maandishi utaanzia wapi kudai haki zako, ambazo kwanza hujui ni zipi maana hukupewa maandishi yoyote.
 
Kilichokufanya kuacha kazi ni nini..? Je ni kutoka na wao kukunyima mkataba au ni sababu zipi hasa zimepelekea..? From there ndo kwa mtazamo wa kisheria unaweza kuestablish grounds za kuclaim hizo haki zako. Lakini pia uliachaje kazi..? Kwa utaratibu wa kisheria i mean resignation kwa barua au uliondoka tu na kutoonekana kazini tena..?
Niliacha kazi kwasababu ya mazingira magumu ya kazi,nlfafanya kazi kwa zaid ya masaa 12 kila cku kwa siku6 za wik na mapumzko ya siku 1 bla makubaliano yeyote na kila nilipodai mkataba ilikuwa ngumu kunipa nlpowasumbua sana nilipewa lkn ukiwa na mapungufu makubwa ikiwemo kukosa maelezo ya sahh ya mshahara wangu na makato yake kama kodi ya serikal na michango mingne kama nssf,ppe nk,ambao sikukubaliana nao huo mkataba na kuhtaj mkataba unaojitosheleza kwa hvyo vitu vyote lkn ckupatiwa mpka nlpoamua kuacha kaz,na niliacha kazi kwa kufata taratibu ambapo tar 30,11,2021 nliwakabidhi vitu vyao na kunambia cku inayofata nikawaandikie barua nlifanya hvyo na wakanipigia muhuri wa kampun na barua og walibak nayo wao na nakala nilichukua mwenyew,lkn toka juz tar 1,12,2021 hawatak kunipa barua ya termination na HR hatak kabsa kuonana nami
 
Hiyo ni ajira au kibarua.

Sasa kama hamkuwa na makubaliano yoyote ya maandishi utaanzia wapi kudai haki zako, ambazo kwanza hujui ni zipi maana hukupewa maandishi yoyote.
Kwa sheria ya kazi ya nchi yetu inaruhusu kumlipa kibarua kwa mwez na kumfanyisha kibarua kwa zaid ya miez 3-6???
 
Kwa sheria ya kazi ya nchi yetu inaruhusu kumlipa kibarua kwa mwez na kumfanyisha kibarua kwa zaid ya miez 3-6???
Haki zako zinaanzia kwenye makubaliano yenu (ya maandishi ).

Sasa mfano hapa wewe unadai termination.

Wakisema hawajawahi kukuajiri wewe utathibitishaje?
 
Haki zako zinaanzia kwenye makubaliano yenu (ya maandishi ).

Sasa mfano hapa wewe unadai termination.

Wakisema hawajawahi kukuajiri wewe utathibitishaje?
1st ninabarua ya kuacha kaz yenye muhuri wao,nilkuwa nikisign in and out kwa kipnd chote na nlkuwa nikisign meal allowance and payrow za kla mwez
 
Niliacha kazi kwasababu ya mazingira magumu ya kazi,nlfafanya kazi kwa zaid ya masaa 12 kila cku kwa siku6 za wik na mapumzko ya siku 1 bla makubaliano yeyote na kila nilipodai mkataba ilikuwa ngumu kunipa nlpowasumbua sana nilipewa lkn ukiwa na mapungufu makubwa ikiwemo kukosa maelezo ya sahh ya mshahara wangu na makato yake kama kodi ya serikal na michango mingne kama nssf,ppe nk,ambao sikukubaliana nao huo mkataba na kuhtaj mkataba unaojitosheleza kwa hvyo vitu vyote lkn ckupatiwa mpka nlpoamua kuacha kaz,na niliacha kazi kwa kufata taratibu ambapo tar 30,11,2021 nliwakabidhi vitu vyao na kunambia cku inayofata nikawaandikie barua nlifanya hvyo na wakanipigia muhuri wa kampun na barua og walibak nayo wao na nakala nilichukua mwenyew,lkn toka juz tar 1,12,2021 hawatak kunipa barua ya termination na HR hatak kabsa kuonana nami

Ok a quick one, kwanza kabisa HR alitakiwa akupe confirmation letter ya resignation yako, ikiainisha barua yako ya kujiuzulu kazini wameipokea lini na wao wamekubaliana na maombi yako ya kujiuzulu lini ikienda sambamba na issues za stahiki zako za mwisho wa ajira yako. Fact ya kutokuwa na mkataba sio issue sana kwenye maswala ya ku seek legal redress maana hiyo itakuwa liability ya employer kuprove kama ulikuwa mfanyakazi wake au lah.., So usijali. ila muhimu nilichokiona ni kwamba mwajiri amekutengenezea mazingira magumu yaliyopelekea wewe kuacha kazi kitu ambacho ni kosa kisheria kwenye zile forms za termination na kuna cases nyingi zipo kusupport hilo swala, so ushauri wangu, tembelea kwa afisa kazi wa mkoa uliopo umpatie scenario hiyo, jaza hiyo form, ila iwe ujikite kuwa employer alikutengenezea mazingira magumu ya kazi ikakulazimu kuresign(forced resignatio) substantially tutaiterm kama forced resignation hence unfair termination.
 
Ok a quick one, kwanza kabisa HR alitakiwa akupe confirmation letter ya resignation yako, ikiainisha barua yako ya kujiuzulu kazini wameipokea lini na wao wamekubaliana na maombi yako ya kujiuzulu lini ikienda sambamba na issues za stahiki zako za mwisho wa ajira yako. Fact ya kutokuwa na mkataba sio issue sana kwenye maswala ya ku seek legal redress maana hiyo itakuwa liability ya employer kuprove kama ulikuwa mfanyakazi wake au lah.., So usijali. ila muhimu nilichokiona ni kwamba mwajiri amekutengenezea mazingira magumu yaliyopelekea wewe kuacha kazi kitu ambacho ni kosa kisheria kwenye zile forms za termination na kuna cases nyingi zipo kusupport hilo swala, so ushauri wangu, tembelea kwa afisa kazi wa mkoa uliopo umpatie scenario hiyo, jaza hiyo form, ila iwe ujikite kuwa employer alikutengenezea mazingira magumu ya kazi ikakulazimu kuresign(forced resignatio) substantially tutaiterm kama forced resignation hence unfair termination.
Nashukuru kwa ushauri
 
Back
Top Bottom