Symonjerry
Member
- Nov 16, 2017
- 68
- 86
- Thread starter
- #21
Aaah nimekua nikisoma na kuambiwa kua Ni kosa la jinai kujichukulia sheria mkononi kama hakuna uladhima wa kufanya hivyo....Amzibue ya kutosha mpaka akili imkae
Yani ingekua ni kama njia ya kufanya self defence basi ingenibidi nifanye hivyo..
Lakini kwasasa yanipasa kutumia njia sahihi.