msaada wa kisheria tafadhari

hp4510

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
6,435
6,283
wakuu naomba msaada wa kisheria.... hivi
kwenye kesi ya kukopeshana pesa ni ushahidi
gani ambao unatakiwa mahakamani? i mean wa
mtu kuona au wa maandishi?
 
kwaiyo kama nimempa mtu pesa zangu bila kuandikishiana imekula kwangu?

Hapana,, inategemea ! ! ushahidi maana na lengo lake ni kuthibitisha tendo fulani kuwa ni hakika, unaweza ukawa wa maandishi, picha, sauti, mtu wa tatu aliona watu wawili kukopeshana, ili mradi kuthibitisha kwamba kweli tendo hilo lilifanyika. . . . . .
 
Hapana,, inategemea ! ! ushahidi maana na lengo lake ni kuthibitisha tendo fulani kuwa ni hakika, unaweza ukawa wa maandishi, picha, sauti, mtu wa tatu aliona watu wawili kukopeshana, ili mradi kuthibitisha kwamba kweli tendo hilo lilifanyika. . . . . .

kwaiyo kama hakukuwa na shahidi yyte naweza kumchukua mtu na akasema aliona hilo tukio na ikakubalika?
 
wakuu naomba msaada wa kisheria.... hivi
kwenye kesi ya kukopeshana pesa ni ushahidi
gani ambao unatakiwa mahakamani? i mean wa
mtu kuona au wa maandishi?
kaka Kama mlipeana hela bila maandishi usiogope, nenda polisi kashtaki ila inabidi ujenge hoja ionekane kama alikurubuni kwa makubaliano ya kuuziana kitu Fulani wala isionekane kama mlikopeshana kisha ongea na polisi "vizuri" wamlaze jamaa ndani itabidi uongee "vizuri" tena na polisi wamshurutishe jamaa asaini makubaliano ambayo tayari utakuwa umeyaanda mfano mimi.......nimepokea sh......kutoka kwa.......ambazo nitazirudisha tarehe.......naweka dhamana ya mali zangu zenye thamani ya sh .........ambazo zitatumika kufidia deni nisipoweza kulipa, unaweza pia kuupeleka kwa mwanasheria akautie saini. ningekushauri vema kama ningejua mmepeana hela kwa makubaliano gani na kama jamaa ameonyesha dhamira ya wazi ya kutokuwa tayari kukulipa 078478449
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom