...embu eleza vizuri, hiyo hela umeipata kutoka kwa nani? Na uliipata vipi mpaka akasema ni kwa udanganyifu, na je ni kweli uliipata hiyo hela?.. fafanua zaidi tafadhali
nilikuwa na mpenzi wangu na baada ya kuachana amekwenda kufungua kesi ya kwamba nimejipatia pesa kwa njia ya udanganyifu kesi ipo mahaka ya mwanzo. na hakuna ushahidi wowote ila hakimu ananilazimisha nimlipe huyo demu naomba msaada tafadhari
sijapata pesa yoyote zaidi ya zile ambazo tulikuwa tunapeana kama wapenzi... mimi nilikuwa na mpa na yeye alikuwa ananipa sasa cha ajabu hakimu nae analazimisha nimlipe bila kusikia upande wangu wala bila kuita mashahidi