Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Nilinunua shamba dogo tu hekari mbili 2009. Baada ya kuuziwa shamba, mfanyakazi au mlinzi wa muuzaji alinifuata kuniomba kununua kipande kingine kando. Nilikataa kwani shamba alilotaka kuniuzia halikuwa halali. Baada ya hapo akanza fitna na mke wangu
Majuzi, akazuka kwamba tunataka kumuua na shamba tumeongeza. Shamba hatukuzidisha. Ni huyo mfanya kazi ndiye aliyepima, aliyefyeka hilo shamba letu. Wanalotaka ni kwamba niwaongezee hela. Sina hela. Miaka mitatu imepita ndio wanarudi. Mbaya zaidi siku weekend iliyopita walirudi bila mimi kuwepo na kuligawa shamba langu nusu ambayo ni sawa na uvamizi wakati nimeshajenga na kuendeleza ardhi.
Nadhani statute of limitations inanipa nguvu kwani baada ya miaka mitatu hawajaonekana shambani kwangu. Naomba mwanasheria anisaidie kuweka injunction wasikaribie wala kuja kwenye shamba langu. Na kama watakuja au kukata shamba, wawekewe madai. Pili walipe legal fees zote (Small Claims)
1. Naomba msaada nini cha kufanya
2. Statute of limitations ni applicable kwenye kesi kama hii kwa sababu tuliuziana ardhi in 2009, wao ndio waliipima, kuishafisha etc lakini matokeo yake wanarudi kutugeuka miaka mitatu baadae
3. Nawezaje kuwazuia kuingia kwenye shamba langu? (court injunction)
mbezi1980@yahoo.com
Shukrani
Majuzi, akazuka kwamba tunataka kumuua na shamba tumeongeza. Shamba hatukuzidisha. Ni huyo mfanya kazi ndiye aliyepima, aliyefyeka hilo shamba letu. Wanalotaka ni kwamba niwaongezee hela. Sina hela. Miaka mitatu imepita ndio wanarudi. Mbaya zaidi siku weekend iliyopita walirudi bila mimi kuwepo na kuligawa shamba langu nusu ambayo ni sawa na uvamizi wakati nimeshajenga na kuendeleza ardhi.
Nadhani statute of limitations inanipa nguvu kwani baada ya miaka mitatu hawajaonekana shambani kwangu. Naomba mwanasheria anisaidie kuweka injunction wasikaribie wala kuja kwenye shamba langu. Na kama watakuja au kukata shamba, wawekewe madai. Pili walipe legal fees zote (Small Claims)
1. Naomba msaada nini cha kufanya
2. Statute of limitations ni applicable kwenye kesi kama hii kwa sababu tuliuziana ardhi in 2009, wao ndio waliipima, kuishafisha etc lakini matokeo yake wanarudi kutugeuka miaka mitatu baadae
3. Nawezaje kuwazuia kuingia kwenye shamba langu? (court injunction)
mbezi1980@yahoo.com
Shukrani