MSATULAMBALI
Senior Member
- Apr 1, 2012
- 187
- 55
naomba msaada wa kisheria nimetapeliwa na bwana mmoja raia wa burundi jina lake ni JANVIER NDUWAYO raia wa burundi, jumla ya fedha dolla elfu tano na euro 800, alikuwa ananisaidia kunitafutia udahili wa chuo uingereza, nikatakiwa kulipia ada na application fees, siku ya mwisho tuliachana bujumbura nyakabiga ya 17, ambapo alitoweka na ada yangu na fedha kwa ajiri ya ticket, nilimfuatilia nairobi sikumpata ikabidi nirudi nyumban tanzania...sasa sijajua ntawezaje kupata haki yangu../mbaya zaidi hook up ilifanywa na mtanzania anaeishi birmigham akanidirect kwa janvier anisaidie kupata admission kiurahisi sasa jamaa nae hajui huyu mtu alipo...anatembelea sana england, holland, belgium, kenya na burundi...msaada kisheria naomba nijue pa kuanzia