Habari wana Jf!
Naombeni msaada wa kisheria nimekua nikikwata Mshahara wangu na Bodi ya Mikopo yaan HESLB hali sina mkataba wowote na wao,yaani elimu yangu hata hainauhusiano na Bodi hiyo,Ngazi yangu ya elimu ni Certificate tu,lakini cha ajabu hao HESLB wamekua wakinikita pesa yangu.
Nimefuatilia hadi kwa Mkurugenzi wa bodi alichofanya ni kusitisha makato tu lakini hawataki kurudisha pesa ambayo wanakiri waliikata kimakosa.
Nina Document zote zinazohusiana na malalamiko haya.Kama kuna mtu wa kunipa support kisheria nifanye ili nirudishiwe pesa zangu anisaidie nifanyeje kisheria.Nimeandika barua hadi nimechoka na sasa takribani miezi 10 imepita bila response yoyote.
Ntashukuru sana.
Naombeni msaada wa kisheria nimekua nikikwata Mshahara wangu na Bodi ya Mikopo yaan HESLB hali sina mkataba wowote na wao,yaani elimu yangu hata hainauhusiano na Bodi hiyo,Ngazi yangu ya elimu ni Certificate tu,lakini cha ajabu hao HESLB wamekua wakinikita pesa yangu.
Nimefuatilia hadi kwa Mkurugenzi wa bodi alichofanya ni kusitisha makato tu lakini hawataki kurudisha pesa ambayo wanakiri waliikata kimakosa.
Nina Document zote zinazohusiana na malalamiko haya.Kama kuna mtu wa kunipa support kisheria nifanye ili nirudishiwe pesa zangu anisaidie nifanyeje kisheria.Nimeandika barua hadi nimechoka na sasa takribani miezi 10 imepita bila response yoyote.
Ntashukuru sana.