Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Wakuu naomba kuuliza,
Hivi inapotokea mtuhumiwa kutofika Mahakamani bila kutoa taarifa kwa Mahakama, siku ambayo mahakama iliamuru mlalamikaji kuja na mashahidi mahakamani.
Je, Mahakama huwa inachukua hatua juu ya mtuhumiwa?
Pia, kwa mimi mlalamikaji, nitapataje haki yangu?
Hivi inapotokea mtuhumiwa kutofika Mahakamani bila kutoa taarifa kwa Mahakama, siku ambayo mahakama iliamuru mlalamikaji kuja na mashahidi mahakamani.
Je, Mahakama huwa inachukua hatua juu ya mtuhumiwa?
Pia, kwa mimi mlalamikaji, nitapataje haki yangu?