Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,324
- 17,829
Habari wakuu,
Naomba ufafanuzi kuhusu Section 79(c) of the Electronics and Postal Communications Act, No 3 of 2010. Naomba kujuzwa kama ni kosa kisheria kumiliki tovuti(website) ambayo domain yake inaishia na dot com (.com). Nimeuliza hivi kutokana na shauri fulani linaloendelea mahakamni. Mimi nimekuwa nikiwasaidia watu kusajili na kuendesha tovuti kwa domain zisizoishia .tz sasa nimetishwa na habari hii nisije ingia matatizoni au kuwaingiza matatizoni wateja wangu ambao nawatengenea tovuti(websites). Na kama ni halali unafuata taratibu zipi usiwe umevunja sheria? Kama ni kosa mbona zipo tovuti hizo nyingi tu za hapa Tanzania zinaishia .com kama hii www.ippmedia.com? Kipande kifupi kinachozungumzia sheria hiyo hiki hapa chini nimetoa ktk kipande cha Final HANSARD mahali hapa http://www.researchictafrica.net/co...c_and_Postal_Communications_Act_no_3_2010.pdf
NOTE: Naomba michango isilenge kuingilia kesi iliyopo mahakamani tusijeongeza matatizo kwa mhanga wa kesi husika.
Naomba ufafanuzi kuhusu Section 79(c) of the Electronics and Postal Communications Act, No 3 of 2010. Naomba kujuzwa kama ni kosa kisheria kumiliki tovuti(website) ambayo domain yake inaishia na dot com (.com). Nimeuliza hivi kutokana na shauri fulani linaloendelea mahakamni. Mimi nimekuwa nikiwasaidia watu kusajili na kuendesha tovuti kwa domain zisizoishia .tz sasa nimetishwa na habari hii nisije ingia matatizoni au kuwaingiza matatizoni wateja wangu ambao nawatengenea tovuti(websites). Na kama ni halali unafuata taratibu zipi usiwe umevunja sheria? Kama ni kosa mbona zipo tovuti hizo nyingi tu za hapa Tanzania zinaishia .com kama hii www.ippmedia.com? Kipande kifupi kinachozungumzia sheria hiyo hiki hapa chini nimetoa ktk kipande cha Final HANSARD mahali hapa http://www.researchictafrica.net/co...c_and_Postal_Communications_Act_no_3_2010.pdf
NOTE: Naomba michango isilenge kuingilia kesi iliyopo mahakamani tusijeongeza matatizo kwa mhanga wa kesi husika.