bila shaka unazungumzia DEED OF GIFTHakuna urithi mwenye mali akiwa hai.
Unachoweza kufanya ni kuhamisha umiliki toka kwako kwenda kwao , wape kama zawadi. Tafuta wakili atakuandalia nyaraka za kuhamisha umiliki.
Ndio mkuu DEED OF GIFT, sikutaka kutumia tu hizo terminologies kuepusha kumvuruga ziaidi.bila shaka unazungumzia DEED OF GIFT
Nashukuru nitafanya hivyoUtawalemaza tu hao watoto wasijifunze kujitaftia vyao soon ukidanja tu wanauza, watoto wengi walioachiwa Mali huwa wajinga hawaziendelezi, anyway njia nzuri ni kuandika maandishi kwa kutafta mwanasheria
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri nitaufanyia kaziHakuna urithi mwenye mali akiwa hai.
Unachoweza kufanya ni kuhamisha umiliki toka kwako kwenda kwao , wape kama zawadi. Tafuta wakili atakuandalia nyaraka za kuhamisha umiliki.
Asante kwa ushauri nitaufanyia kaziHakuna urithi mwenye mali akiwa hai.
Unachoweza kufanya ni kuhamisha umiliki toka kwako kwenda kwao , wape kama zawadi. Tafuta wakili atakuandalia nyaraka za kuhamisha umiliki.
Kishoka mwingine huyu hapa!Nenda RITA au search form ya wosia google inamaelekezo yote pia n easy sana
Mi nishaandika mzee ni rahisi sana.Kishoka mwingine huyu hapa!