maruudaniel
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 888
- 1,067
Suala langu lipo CMA na mwisho wa mashauri yapo mwishoni mwa mwezi huu. Kwani nilichelewa kufungua madai kwa sababu nilipata ajaili iliyopelekea kuchelewa kufungua madai.
Na katika kufungua madai niliwasilisha Documenti za matibabu na Ed sheet ambazo zilikubalika kwa ajili ya mashauri ila mwezi uliopita nilikuja kugundua PF3 kutoka Polisi ilikuwa inahitajika kwani mwanasheria wa hiyo Kampuni niliyokuwa nafanyakazi ndo anahitaji kwani anasema sikupata ajali kwa hiyo aoni sababu iliyosababisha kuchelewa kufungua madai.
Kwa ujumla PF3 pamoja na PF-90 zote ninazo na nilivyomwambia Mwanasheria wangu kwa nini hakuniambia juu ya huitaji wa hivi vitu aliniambia vile alivyovipeleka mwanzo ni sawa kwani kwa sasa harusiwi kufaili documenti mpya kama hizi PF-3 na PF-90 .
Je, ni fanyeje kuhusu hili swala kwani ninahisi sitatendewa haki.
Pia naomba yeyote mwenye namba ya simu ya Mkurugenzi wa CMA aniwekee hapa.
Asanteni sana
Na katika kufungua madai niliwasilisha Documenti za matibabu na Ed sheet ambazo zilikubalika kwa ajili ya mashauri ila mwezi uliopita nilikuja kugundua PF3 kutoka Polisi ilikuwa inahitajika kwani mwanasheria wa hiyo Kampuni niliyokuwa nafanyakazi ndo anahitaji kwani anasema sikupata ajali kwa hiyo aoni sababu iliyosababisha kuchelewa kufungua madai.
Kwa ujumla PF3 pamoja na PF-90 zote ninazo na nilivyomwambia Mwanasheria wangu kwa nini hakuniambia juu ya huitaji wa hivi vitu aliniambia vile alivyovipeleka mwanzo ni sawa kwani kwa sasa harusiwi kufaili documenti mpya kama hizi PF-3 na PF-90 .
Je, ni fanyeje kuhusu hili swala kwani ninahisi sitatendewa haki.
Pia naomba yeyote mwenye namba ya simu ya Mkurugenzi wa CMA aniwekee hapa.
Asanteni sana