OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
- Thread starter
- #21
Wadau nawashukuruni sana nisingependa kwenda kwa dawati la ustawi wa jamii kwa sbabu huko watatutaka tugawane mali pasu kwa pasu yaani sawa.kitu ambacho itaniathiri tena sana kwani nina mali kama nyumba ,viwanja na gari.kwahiyo ndo maana nimeona nimpatie hicho kiasi.kuhusu kuachana kwa kweli ndoa na hyu mdada ni shida sitoweza vumilia hata kidogo hatuendani kweli kukaa nae ni kama bahati mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app