OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
Mimi ni mwanaume kuna mwanamke nimezaa nae na tumeishi nae kwa muda wa mwaka mmoja kwa bahati nzuri amebahatika kupata mtoto nikiwa nae na hatukuwahi kufunga ndoa rasmi.
Sasa tumeshindwana nae kuishi kama mke na mume na tumefikia uamuzi wa kuachana sasa ili kuachana ameomba nimpatie kiasi cha pesa na kiwanja kimoja nimpatie mtoto wetu yaani nibadilishe hati isome majina ya mtoto wetu.
Vile vile yeye anataka nimpatie mtaji wa shilingi milioni 10 ili akafanye shughuli zake pamoja na hayo mtoto nitakuwa namuhudumia kwa kiasi cha shilingi 300,000 kila mwezi. Sasa ombi langu liko juu ya hizi pesa milioni kumi10 nataka tuandikishane ili huko mbeleni kama atazitumia vibaya asije kurudi kwangu kwani natafuta mwanamke mwingine nioe sasa nilitaka tuandikishane kwa mwanasheria ili asije huko mbeleni akasema vinginevyo.
Naombeni ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tumeshindwana nae kuishi kama mke na mume na tumefikia uamuzi wa kuachana sasa ili kuachana ameomba nimpatie kiasi cha pesa na kiwanja kimoja nimpatie mtoto wetu yaani nibadilishe hati isome majina ya mtoto wetu.
Vile vile yeye anataka nimpatie mtaji wa shilingi milioni 10 ili akafanye shughuli zake pamoja na hayo mtoto nitakuwa namuhudumia kwa kiasi cha shilingi 300,000 kila mwezi. Sasa ombi langu liko juu ya hizi pesa milioni kumi10 nataka tuandikishane ili huko mbeleni kama atazitumia vibaya asije kurudi kwangu kwani natafuta mwanamke mwingine nioe sasa nilitaka tuandikishane kwa mwanasheria ili asije huko mbeleni akasema vinginevyo.
Naombeni ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app