Msaada wa kisheria kuhusu kuhamishwa kituo cha kazi

elibariki eliud

New Member
Jun 6, 2016
4
7
jf naomba kujua mfanyakazi wa mkataba anastahili kupata stahiki pindi anapohamishwa kituo cha kazi akiwa ndani ya mkataba,na je ni sheria,kanuni gani inamuongoza juu ya hili.
 
Back
Top Bottom