Msaada wa kisheria kuhusu kuachishwa kazi

Acha hizo TWO WEEKS unataka kuanza kusumbuana na watu? Wakati mwingine hali kama hiyo ipokee huenda kuna kazi alikuwa anaitegemea ili aweze kukuajiri bahati mbaya imekataa. Huenda kwa kuwa ana mawasiliano yake akakuhitaji baadaye
Sio kusumbuana ni kuelimishana tu, kwamba sheria inasemaje, maana wengine hatuna uelewa wa maswala hayo, kujua stahili yako n nzuri sana ktk maisha
 
Acha hizo TWO WEEKS unataka kuanza kusumbuana na watu? Wakati mwingine hali kama hiyo ipokee huenda kuna kazi alikuwa anaitegemea ili aweze kukuajiri bahati mbaya imekataa. Huenda kwa kuwa ana mawasiliano yake akakuhitaji baadaye

Huyu jamaa anaonesha ni mtata, na inawezekana hata kazi ametemeshwa kwa sababu hiyo.

Kaambiwa atafanyiwa probation ya 2 weeks, akionekana anafaa atapewa kazi. 2 weeks zimeisha na imeonekana hafai, anataka mkataba wa 2 weeks ambazo ameshalipwa.
 
Hizi sio ngonjera za kupiga blah blah mitandaoni.

Onana na wakili ashughulike na tatizo lako on practical basis!

Kwenye mambo ya sampuli hii hauhitaji ushauri nasaha na tenzi za faraja. Hapa unahitaji kazi na kushughulikiwa tatizo PRACTICALLY.
 
Hizi sio ngonjera za kupiga blah blah mitandaoni.

Onana na wakili ashughulike na tatizo lako on practical basis!

Kwenye mambo ya sampuli hii hauhitaji ushauri nasaha, unahitaji kazi na kushughulikiwa tatizo PRACTICALLY.

Mkuu umesoma vizuri thread yake?

Huhitaji mwanasheria hapo, ni straight kwamba hakuwa mfanyakazi, alikuwa kwenye interview bado.

Sasa inakuwa ni kama kumshataki mtu kwa kukunyima kazi.
 
Huhitaji mwanasheria hapo, ni straight kwamba hakuwa mfanyakazi, alikuwa kwenye interview bado.
HAPANA. Probation na terms zake zinapaswa kuwa kwenye MKATABA RASMI wa kazi.

Na kuna muda maalumu wa probation na masharti yake!

Ndio maana nikasema hapa panahitaji maelezo ya kina!

Muda wa probation, barua ya uthibitisho, notisi ya kumuondoa kwenye probation nk.

Probation haifanyiki tu kiholela unaitwa na kupewa kienyeji enyeji. Hii haiko sawa.

Huyu aonane na wakili.
 
Yani alivyofanya ni kama alifanya dili la muda tu then dili limeishaa ametemwaa...
HAPANA. Probation na terms zake inapaswa kuwa kwenye mkataba wa kazi...

Probation haifanyiki tu kiholela unaitwa na kupewa kienyeji enyeji. Hii haiko sawa.

Huyu aonane na wakili.
 
Aeleze ni kazi gani hiyo ya probation ya wiki mbili? Kuna implications katika muda wa probation as far as locus standi to get reliefs is concerned.

Otherwise naona hii kazi ina magumashi mengi! Na huyo mauajiri ana tatizo kubwa probably UKWEPAJI KODI.
 
bora wewe kuliko sisi tuliopewa mshahara wa mwisho mwezi wa 3 na kupewa likizo bila malipo kwa muda usiojulikana!!.na tuna mikataba yetu ambayo iko valid.sijui tunabaki kundi lipi??
 
n
Huyu jamaa anaonesha ni mtata, na inawezekana hata kazi ametemeshwa kwa sababu hiyo.

Kaambiwa atafanyiwa probation ya 2 weeks, akionekana anafaa atapewa kazi. 2 weeks zimeisha na imeonekana hafai, anataka mkataba wa 2 weeks ambazo ameshalipwa.
nimekuelewa vizuri sana, isipokuwa ungejielekeza kwenye thread ingependeza zaidi kuliko kunishambulia na kunizoom nikoje ndani yangu, Lengo ni kuelewa tu sababu nilipata chance mbili, moja mkoani ingine mjini, nikaona nibaki mjini ambako tayari nina uzoefu napo, inapotokea swala kama ili ni lazma uloose mentally, ukiangalia option ya pili nayo ishapotea, sababu kuu pia naelewa Wachina hufanyaga mengi pasipo uelewa wa kisheria au tu huwa hawataki kuzingatia
 
bora wewe kuliko sisi tuliopewa mshahara wa mwisho mwezi wa 3 na kupewa likizo bila malipo kwa muda usiojulikana!!.na tuna mikataba yetu ambayo iko valid.sijui tunabaki kundi lipi??
Pole sana lako ni kubwa zaidi ya langu na kuna ambao yao n makubwa zaidi ya ilo la kwako, na nadhani kisheria la kwako lipo wazi zaidi ni vile tu umeona utumie busara na umakini kutafuta solution. utafika tu ata usijali
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom